Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa Yanga unemepatia ila kwa Simba umebuma.
Mkuu una hari gani ulipoHapana!
Simba anacheza hatua ya kwanza. Hatocheza tu preminary stage. Timu zitakazofuzu zitapangiwa kukutana na Vigogo ikiwemo Simba. Kisha makundi. Akitolewa anaenda Shirikisho.
Lakini, kwa anachokisema asahau Simba kutolewa hatua za awali. Simba sasa ni lazima afike robo fainali.
Lakini kwa Utopolo, inawezekana kabisa asitoboe. Lakini nawaombea kwa mustakabali wa soka la nchi yetu.
Naona sasa mmeingia makundi ya kuchonga viaziKwa Yanga unemepatia ila kwa Simba umebuma.
Hahaha bongo wachawi wengi sanaNaziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.
Uzi tayari, kama una bisha sawa.
!!???Hapana!
Simba anacheza hatua ya kwanza. Hatocheza tu preminary stage. Timu zitakazofuzu zitapangiwa kukutana na Vigogo ikiwemo Simba. Kisha makundi. Akitolewa anaenda Shirikisho.
Lakini, kwa anachokisema asahau Simba kutolewa hatua za awali. Simba sasa ni lazima afike robo fainali.
Lakini kwa Utopolo, inawezekana kabisa asitoboe. Lakini nawaombea kwa mustakabali wa soka la nchi yetu.
Hahahah rudia kusoma huu ujinga wakoKumbuka ni shabiki wa Yanga hao na mpira wapi na wapi?
Mashimo ajengewe sanamu pale iwekwe pale postaUtabiri wa Nabii Mashimo huo.
Na umepokelewa na wana UTO