UTABIRI: Simba na Yanga hazitofika hatua ya makundi CAF 2021/22

Mkuu una hari gani ulipo
 
Timu imejaa wazee wasiojitambua, hawaijui hata game management? unaongoza 3-0 aggragate unafeli wapi?

Napenda shirikisho wapewe muarabu watoke kabisa huko hawana maana.
 
Naziona Simba na Yanga kuto kufika hatua ya makundi katika michuano ya klabu bingwa Afrika msimu huu.

Uzi tayari, kama una bisha sawa.
Hahaha bongo wachawi wengi sana
 
!!???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…