Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Sawa kesho kutwa tutawaonahujaijua Yanga vizuri wewe...
Sawa mkuu, jumamosi siyo mbaliWw mbumbumbu hebu Acha kuizungumzia Yanga, tukiwapa chache hao waarabu koko basi ni 5G[emoji870] km tulizowapiga nyie
Daima mbele 💚💚
Nyuma mwiko...Daima mbele 💚💚
Kabeeeeeesa!Nyuma mwiko...
Sare hiyo mechi.Yanga tunahitaji ushindi. Hayo sare ni ya kwako na utabiri wako.
Sare
Wananchi usitufananishe na Kolo,sisi tuna uhakika wa point tatu,kwa CR Bulloizedad na wakizubaaa wanatoka na hamsaaa🤚.Huu ndio utabiri wangu simba na yanga wote watasare michezo yao, kulingana na wapinzani wanaocheza nao nimetizama kwa jicho la kiufundi sion hata mmoja wao akichukua alama zote tatu.
Asec vs simba 0 - 0ft
Yanga vs belouzdad 1 - 1 ft