Amen SIMBA ashaliwaKwanini usisubiri.
Mbona Mechi ni kesho tu ndugu yangu. Au unataka kujionyesha kuwa mjuaji sana ama mmwenye maono.
Kila mtu akitaka kuleta utabiri wake hapa itakuwaje????????
Muda Ni hakimu wa Kweli kabisa kabisa.
anahukumu kwa haki.
SUBRA YAVUTA HERI.
Si umeona wamepata hizo goli tatu ulizotabiri...Umenishinda eeh ... Sona uelewe chin ya GOLI 3
1-3
SOMA UELEWESi umeona wamepata hizo goli tatu ulizotabiri...
Daah wewe pimbi hakuna unachokijua unifundishe mimi Maths...SOMA UELEWE
WATAFUNGWA CHINI YA GOLI TATU
WAPI WAMEANDIKA ANAFUNGWA 3
KISWAHILI KIDOGO ELEWE USIKIMBIILIE KUANDIKA ...
ZAIDI YA GOLI TATU UJASOMA HATA BASIC MATH. LESS THAN GREATER THAN