Utabiri: Simba Vs A Ahly, Simba atafungwa goli chini ya 3 Yanga atapata sare

Utabiri: Simba Vs A Ahly, Simba atafungwa goli chini ya 3 Yanga atapata sare

Sio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea

Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.

Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....

Yanga vs mamelody

Ft so far naiona drw dk 90

Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw

Marudio kutakuwa na mshangao kidogo soon ntawajulisha......Miracle happen

Rgds dk pdi
DK PDIDY
angalia saliooooooo MAMELODY ntakukumbuka daimaaa kha si kwa MATESOO ya Leo ya timu Yangu
 
Aiseee we mtu mbaaaaaadd sanaaaa yaaaaani!

Nyuzi zako huwa nazifatilia sana tangu 2021. Na mara nyingi zinakuwa sahihi sana. Ila nasikitika kwanini sikuzingatia utabiri wako kwa mechi ya Simba vs Al Ahly hadi nikapuyanga.
Mpangoo Ya Mungu tusubiri MARUDIANO
YANGA ANAFUNGWA 2-0/2-1/3-0
SIMBA ANAFUNGWA KUANZIA BAO 3 NK
 
Sio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea

Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.

Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....

Yanga vs mamelody

Ft so far naiona drw dk 90

Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw

Marudio kutakuwa na mshangao kidogo soon ntawajulisha......Miracle happen

Rgds dk pdi
Umetisha mzee baba
 
DK za mwisho ilibidi nikumbuke maombi ya tb Joshua bk to sender wakatulia
 
Back
Top Bottom