Utabiri: Simba Vs A Ahly, Simba atafungwa goli chini ya 3 Yanga atapata sare

Utabiri: Simba Vs A Ahly, Simba atafungwa goli chini ya 3 Yanga atapata sare

Yanga iliyofika fainali ya shirikisho Afrika, iwe ni miujiza kuifunga Mamelod?

Kwani Mamelod wao ni akina nani?

Ulimsikia kocha wa Mamelod? Alisema wanawaheshimu sana Yanga.
Sasa nimejua naongea na kichaa. Uliwahi kuona kocha mwenye akili akaongea kauli ya kuwadharau wapinzani wake hata kama anajua wana uwezo ndogo? Labda kama hana akili kama wewe.

Alilolifanya kocha wa Mamelodi kocha yeyote mwenye akili zake timamu angesema vile vile. Kwenye soka hawasemani kwa shit kama kwenye ndondi.
 
Sasa nimejua naongea na kichaa. Uliwahi kuona kocha mwenye akili akaongea kauli ya kuwadharau wapinzani wake hata kama anajua wana uwezo ndogo? Labda kama hana akili kama wewe.

Alilolifanya kocha wa Mamelodi kocha yeyote mwenye akili zake timamu angesema vile vile. Kwenye soka hawasemani kwa shit kama kwenye ndondi.
Kwa hiyo wewe unadhani hiyo kauli ya kuwaheshimu Yanga aliisema kama geresha au ni kweli wanaiheshimu, ukizingatia kwmb mwaka jana imefika fainali ya shirikisho Afrika?
 
Kwa hiyo wewe unadhani hiyo kauli ya kuwaheshimu Yanga aliisema kama geresha au ni kweli wanaiheshimu, ukizingatia kwmb mwaka jana imefika fainali ya shirikisho Afrika?
Kwenye soka, kanuni ni kumheshimu kila mpinzani wako unayekutana naye. So anaiheshimu Yanga, kama ambavyo angeiheshimu JKT Ruvu kama nayo ingekuwa kwenye michuano hiyo.
 
What if Simba angeshinda?
Huoni kutabiri atafungwa kisha akafungwa kweli huo tayari ni utabiri mzuri hata bila kutaja idadi ya goals?
Huyo kichwa tofali yeye ameshindwa kutabiri kwa usahihi matokeo ya weekend, ila yuko hapa kumponda aliyetabiri kwa usahihi.
 
Sio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea

Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.

Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....

Yanga vs mamelody

Ft so far naiona drw dk 90

Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw

Marudio kutakuwa na mshangao kidogo soon ntawajulisha......Miracle happen

Rgds dk pdi
Pdidy tupe utabiri wa mechi za marudiano
 
Pdidy tupe utabiri wa mechi za marudiano
NIKUMBUSHE TAR 4 NTALETA HAPA MKUU
SO FAR SIMBA ANAFUNGWA MAGOLI 3 NK
YANGA ALIKUWA ANAFUNGWA MPAKA JANA LEO NAIONA DRW YA MAGOLI
NTAKUJUZA KAMA KUNA TOFAUTI TAR 4 APR
 
NIKUMBUSHE TAR 4 NTALETA HAPA MKUU
SO FAR SIMBA ANAFUNGWA MAGOLI 3 NK
YANGA ALIKUWA ANAFUNGWA MPAKA JANA LEO NAIONA DRW YA MAGOLI
NTAKUJUZA KAMA KUNA TOFAUTI TAR 4 APR
unatumia taaluma gani, ya upande wa giza ama upande wa nuru.
 
Mimi niliota simba inacheza na timu yenye jezi nyekundu. Simba akafungwa 3 kwa moja tena goli la 3 linafungwa dakika za mwishoni kabsa
Mkuu hukuona vizuri hadi mwisho, ile ndoto ilipoisha kwako iliendelea kwangu, niliona baada ya simba kufungwa goli tatu na Al Ahly huko Cairo , walipata goli moja ila VAR ilisema ni offside, hivyo mpira uliisha 3-0!
Ila hakuna mshangao kibonde Simba huishia robo fainali miaka yote.

Timu yenye saprais ni Yanga, iwapo Aucho na Pacome watacheza mechi itakuwa ngumu kwa Mamelodi, Ila ushauri Yanga wanapaswa kucheza kwa heshima Mamelodi wakubwa kinachotakiwa tukabe sana dakika 30 za mwanzo kila kipindi na kushambulia dkk 15 za mwisho kila kipindi, kinachotakiwa tusifungwe tu, tutoe suluhu tukauane kwenye penati!! Tukifunguka tumekwisha!!
 
Mkuu hukuona vizuri hadi mwisho, ile ndoto ilipoisha kwako iliendelea kwangu, niliona baada ya simba kufungwa goli tatu na Al Ahly huko Cairo , walipata goli moja ila VAR ilisema ni offside, hivyo mpira uliisha 3-0!
Ila hakuna mshangao kibonde Simba huishia robo fainali miaka yote.

Timu yenye saprais ni Yanga, iwapo Aucho na Pacome watacheza mechi itakuwa ngumu kwa Mamelodi, Ila ushauri Yanga wanapaswa kucheza kwa heshima Mamelodi wakubwa kinachotakiwa tukabe sana dakika 30 za mwanzo kila kipindi na kushambulia dkk 15 za mwisho kila kipindi, kinachotakiwa tusifungwe tu, tutoe suluhu tukauane kwenye penati!! Tukifunguka tumekwisha!!
WALEEE MKUUU SOLN N SULLUHU YA MAGOLI HAKUNA PENALTY..WAENDETUKITOKA DRW YA MAGOLI BIASHARA IMEISHA
 
H

Sasa wewe unataka udanganye watu kwamba ni mshangao sana wakati ni common sense tu, Simba atatolewa na Yanga atapita.

Unataka uzingue watu eti kuna miracle, acha kujifunza utapeli dogo.
Hahaaaaa jamaa anawaset hapa JF na ameweka namba yake ya simu huku akitumia ID zake 2 kujijibu, moja ikionesha ametumiwa muamala na nyingine akijijibu. Mjini shule.
 
Hahaaaaa jamaa anawaset hapa JF na ameweka namba yake ya simu huku akitumia ID zake 2 kujijibu, moja ikionesha ametumiwa muamala na nyingine akijijibu. Mjini shule.
Anajifanya mganga eti 'kuna miracle itatokea'! Miracle my foot.
 
What if Simba angeshinda?
Huoni kutabiri atafungwa kisha akafungwa kweli huo tayari ni utabiri mzuri hata bila kutaja idadi ya goals?
Avatar yako imenikumbusha Mtunzi wa Kitabu muhimu sana (Fundamentals of Engineering Science) nilichokisoma nikiwa Technical Secondary School (O-Level). Kitabu kilikuwa kimetulia sana kiasi kwamba ukienda A-Level kwenye Physics unateleza tu.
 
Sio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea

Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.

Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....

Yanga vs mamelody

Ft so far naiona drw dk 90

Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw

Marudio kutakuwa na mshangao kidogo soon ntawajulisha......Miracle happen

Rgds dk pdi
Aiseeeee
 
Back
Top Bottom