Lord Delamere in Kenya
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 3,988
- 8,021
Kuna muamala nimekutumia asubuhi hii mwamba.Mungu mwema ataifanya njia 0713458722 ngoja nisome suratt drw
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna muamala nimekutumia asubuhi hii mwamba.Mungu mwema ataifanya njia 0713458722 ngoja nisome suratt drw
Hakuna mshangao wowote hapo ndugu.Sio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea
Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.
Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....
Yanga vs mamelody
Ft so far naiona drw dk 90
Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw
Marudio kutakuwa na mshangao kidogo soon ntawajulisha......Miracle happen
Rgds dk pdi
Hebu kuwa na akili basi, hakuna mshangao wala muujiza Simba kutolewa na Yanga kupita, umeelewa?Unajiuliuza unajijibu mwenyewe
Sasa wewe unataka udanganye watu kwamba ni mshangao sana wakati ni common sense tu, Simba atatolewa na Yanga atapita.We wasema akili unazo wewe
Tapeli babakoooo mjinga wewe huna cha KUANDIKA unaandika mkojoH
Sasa wewe unataka udanganye watu kwamba ni mshangao sana wakati ni common sense tu, Simba atatolewa na Yanga atapita.
Unataka uzingue watu eti kuna miracle, acha kujifunza utapeli dogo.
Simba kufungwa siyo ajabu, ila Yanga kufuzu kule South isiwe miracle? Unashangaza kweli.H
Sasa wewe unataka udanganye watu kwamba ni mshangao sana wakati ni common sense tu, Simba atatolewa na Yanga atapita.
Unataka uzingue watu eti kuna miracle, acha kujifunza utapeli dogo.
Mmh!Tapeli babakoooo mjinga wewe huna cha KUANDIKA unaandika mkojo
Miracle gani? Yanga inatakiwa sare hata ya moja moja. Kwa akili zako unaona haiwezekani?Simba kufungwa siyo ajabu, ila Yanga kufuzu kule South isiwe miracle? Unashangaza kweli.
Yanga kuitoa Mamelodi hautakuwa muujiza? Kwamba Africa itaona ni jambo la kawaida Yanga kuwatoa Mamelodi? Hauko sahihi.H
Sasa wewe unataka udanganye watu kwamba ni mshangao sana wakati ni common sense tu, Simba atatolewa na Yanga atapita.
Unataka uzingue watu eti kuna miracle, acha kujifunza utapeli dogo.
Kama unaona ni rahisi hivyo mbele ya Mamelodi, huku ukiamini mpira unadunda. Kwanini usiamini pia Simba ataweza kuifunga Al Ahly?Miracle gani? Yanga inatakiwa sare hata ya moja moja. Kwa akili zako unaona haiwezekani?
Sio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea
Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.
Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....
Yanga vs mamelody
Ft so far naiona drw dk 90
Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw
Marudio kutakuwa na mshangao kidogo soon ntawajulisha......Miracle happen
Rgds dk pdi
Huyu kweli mwehu. Nadhani anatafuta attention fulani asiyokuwa nayo.Mwehuu huyu msamehe mowaa
Ahly wana faida ya goli la ugenini.Kama unaona ni rahisi hivyo mbele ya Mamelodi, huku ukiamini mpira unadunda. Kwanini usiamini pia Simba ataweza kuifunga Al Ahly?
HongeraSio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea
Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.
Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....
Yanga vs mamelody
Ft so far naiona drw dk 90
Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw
Marudio kutakuwa na mshangao kidogo soon ntawajulisha......Miracle happen
Rgds dk pdi
Oya, msijitie umwamba kwenye nyuzi za watu. Kwanini wewe hukuweka utabiri wako? Halafu pia, kwanini hao 'wajuaji' wenzako walioweka utabiri wao almost wote wameangukia pua isipokuwa mmoja Pdidy?Goli chini ya 3, huo ni utabiri au ujinga? Ni sawa na kusema unatabiri saa 4 ni baada ya saa 3, crazy