msingipenenge
Member
- Dec 28, 2018
- 32
- 51
Kaka tarehe 4 ni leo tupe utabiri wakoNIKUMBUSHE TAR 4 NTALETA HAPA MKUU
SO FAR SIMBA ANAFUNGWA MAGOLI 3 NK
YANGA ALIKUWA ANAFUNGWA MPAKA JANA LEO NAIONA DRW YA MAGOLI
NTAKUJUZA KAMA KUNA TOFAUTI TAR 4 APR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka tarehe 4 ni leo tupe utabiri wakoNIKUMBUSHE TAR 4 NTALETA HAPA MKUU
SO FAR SIMBA ANAFUNGWA MAGOLI 3 NK
YANGA ALIKUWA ANAFUNGWA MPAKA JANA LEO NAIONA DRW YA MAGOLI
NTAKUJUZA KAMA KUNA TOFAUTI TAR 4 APR
Wewe mtu mbadi sana wewe wa kumfanyia Mondi usodoma kweli? Mungu anakuona.Sio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea
Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.
Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....
Yanga vs mamelody
Ft so far naiona drw dk 90
Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw
Marudio kutakuwa na mshangao kidogo soon ntawajulisha......Miracle happen
Rgds dk pdi
Kama umegoma kurudi, sisi tunaondoka na "marudiano kutakua na mshangao....... Miracle will happen. Tusubiri Yanga afanye maajabu, tukikosa yatatokea Kwa SimbaSio kwa niambaya nimeonyeshwa watu wasiumie sana na yanayoenda kutokea
Mechi ya SIMBA vs Al AHLY
SIMBA ATAFUNGWA hii mechi GOLI CHINI ya tatu.
Pona ya SIMBA kudrw ni Red card....
Yanga vs mamelody
Ft so far naiona drw dk 90
Either kuna red card ama lah mpaka sasa ft draw
Marudio kutakuwa na mshangao kidogo soon ntawajulisha......Miracle happen
Rgds dk pdi
Nyie ndio mnaopigwa na waganga wa kienyeji. Pole yako dogo.Kaka tarehe 4 ni leo tupe utabiri wako
Ila wale Roho mbaya wa Muddy hawataki kuona wala kusikia hilo. Wazee wa CAFCL hawataki kabisa kusikia wala kuona hilo.I wish simba na yanga sote tupite hatua hi🙏🏻