UTABIRI: Tutarajie Kumpata Sheikh Mkuu wa Tanzania Mwanamke Kabla ya 2030

Kama ni muislam basi umekariri tu hauna maarifa juu ya u-sheik
Nchi kama za kiarabu kuitwa sheikh sio lazima uwe umesoma dini sana ni kama cheo tu
Mfano hawa matajiri wa mpira sheikh mansoor ,MBS wa saudia etc..
Vip ushawahi sikia papa wa kike?
Kwanini asitokee?
 
Kwahiyo kwa huo uelewa wako unatarajia ipo siku Sheikh ataweza kuwa Askofu wa RC au Askofu ataweza kuwa Sheikh mkuu na Mufti wa Bakwata?
ni sentensi gani katika maelezo yangu inaashiria kuwa askofu anaweza kuwa sheikh?
 
Hiyo Sheikh ya Hasina sio cheo cha kidini.
Hizi dini na tamaduni za watu tulizodandia bila hata kuwa na maarifa nazo tuwaachie wenye nazo tu, twende na ya kwetu. Maana nimegundua watu wengi iwe ni uislam au ukristo tunatunisha misuri hata hatujui tunayotunishia misuri maanake nini kisa tumepewa vijina fulani tu vya kitumwa na kuambiwa wewe sasa umekuwa mkristo au umekuwa muislam. Basi tunahisi tuko ahera, tunashinda tunajazana ujinga vichwani hata tunaamini na kuuana ati ni sehemu ya imani ati hata Allah au Mwenyezi Mungu atatupa neema na mataji. Stup.id religious slaves completely lost in believing other tribes' traditions and cultures.
 

Sheheh ndiyo cheo gani tena hicho ....!!?
 
Wewe ni kichaa kabisa period.
 
We bwana wewe! Sahau hilo. Uislam hauongozwi na katiba ya nchi.
 
Lakini hilo neno SHEIKH halina uhusiano na jinsia ya kike
Uwelewa wake
Nyie waislamu sisi wakristo au watu ambao sio wa Imani yenu,huwa mnatuita makafiri,,,asa nauliza what special au mnayapi ya muhimu ya kuwafanya mjione ni special???,au mna some sorts of DILUTIONS
Nyie waislamu sisi wakristo au watu ambao sio wa Imani yenu,huwa mnatuita makafiri,,,asa nauliza what special au mnayapi ya muhimu ya kuwafanya mjione ni special???,au mna some sorts of DILUTIONS AU MNA PSYCHOSIS???
Kwanza unajua maana ya Qafiri ?tuanzie hapo
 
Basi wewe dada kila nikikuona nakumbuka mbali sana wakati naingia ingia jf miaka hiyo ya nyuma kama mgeni bado sijajiunga rasmi ulikua unabebishana humu na jamaa mmoja anapiga simulizi humu anaitwa The bold au nakufananisha mkuu?
Yaani mm nakumbuka jangi plazaa tu walijua kutushika masikio nyie🤣🤣🤣🤣😆
 
Kulingana na maana yenu,,, KAFIRI NI mtu ambaye haamini katika hiyo dini yenu ndo nalojua,,na wewe niambie maana yake,je ni Nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…