KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 8,589
- 16,936
Utabiri ni kuona yale yajayo kiunaga ubaga. Utabiri lazima utimie. Kuna tofauti kubwa sana kati ya kutabiri na kubashiri.
Kutabiri ni jambo la rohoni wakati kubashiri ni jambo la mwilini. Kwenye kubashiri, ubashiri sio lazima utumie kwasababu uko mwilini, na ulimwengu wa mwili unabadilikabadilika kila wakati, ilhali ulimwengu wa roho ni mkamilifu, hauna mabadiliko.
Hiki ninachoenda kukiongelea ni utabiri na sio ubashiri. Jicho la ndani limeona Watu wameshanawa mikono. BWANA YULE, akikumbwa na lolote, The Green wameshajitoa, hawataki kulaumiwa.
No reform no election itapotea katikati ya mwaka huu (June/July).
KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE
Kutabiri ni jambo la rohoni wakati kubashiri ni jambo la mwilini. Kwenye kubashiri, ubashiri sio lazima utumie kwasababu uko mwilini, na ulimwengu wa mwili unabadilikabadilika kila wakati, ilhali ulimwengu wa roho ni mkamilifu, hauna mabadiliko.
Hiki ninachoenda kukiongelea ni utabiri na sio ubashiri. Jicho la ndani limeona Watu wameshanawa mikono. BWANA YULE, akikumbwa na lolote, The Green wameshajitoa, hawataki kulaumiwa.
No reform no election itapotea katikati ya mwaka huu (June/July).
KAZI NA UTU, TUNASONGA MBELE