Utabiri wa Edo Kumwembe umetimia

Utabiri wa Edo Kumwembe umetimia

Thabit Madai

Member
Joined
Oct 8, 2024
Posts
54
Reaction score
140
FB_IMG_1730578805124.jpg

...Kuna siku mkongwe @edokumwembe alisema Yanga wako karibu zaidi kupoteza mchezo au kutoa sare kuliko kushinda watu hawakumuelewa...

Kuna Wachambuzi pale Wasafi Fm walitanabaisha ubora wa Yanga viongozi wakapiga simu studio na kuanza kukosoa...

Iko hivi...

Kabla ya Yanga kupoteza walikua wamecheza mechi 7 na kushinda zote...

Katika kushinda hizo zote,Mechi 5 kati ya 7 walishinda kwa bao 1-0.

Mechi mbili wakashinda kwa mabao 2+ (4-0 vs Pamba na 2-0 vs JKT Tanzania)

Tafsiri nyepesi ni kwamba ushindi wa bao 1-0 kwenye mechi 5 kati ya 7 maana yake safu yako ya Ushambuliaji ina tegemea uimara wa safu ya ulinzi kushinda mechi.

Yaani timu ipo karibu zaidi kumaliza mchezo bila bao...ndio ukaribu wa sare au kufungwa..

Kama kwenye hizo mechi 5 wangeruhusu bao kwenye mechi mbili au 3 maana yake wangedondosha alama..

Leo safu ya Ushambuliaji haijafunga na safu ya ulinzi imefungwa ndio maana utofauti kwenye mchezo umeonekana.

Ukweli Yanga wana struggle kufunga mabao msimu huu tofauti na misimu iliyopita ingawa Kuna watu hawataki kuamini hicho kitu...

Project inaelekea mwishoni hii...

#NB: Lile goli hata uwaweke kina Diarra wawili wanakufa pale...

✍️Sospeter Ilagila
 
Na hizo mechi walizoshinda;

1. Wapinzani walipunguzwa kwa Kadi nyekundu.

2. Magoli ya Wapinzani yamekataliwa waz wazi mf. Mechi na Kengold.

3. Wachezaji wa Yanga wamecheza madhambi ya Penati au kushika mpira kwenye 18 pasipo kuadhibiwa.

4. Marefa wamefanya makosa ya kibinadamu isivyo kawaida.

5. Wamecheza na Timu za Jiesimu kama zote. Kwa kifupi hao Watopolo kwa sasa wana Timu imara mnoooo wanaongoza ligi na watachukua mapema mnoo tuendelee kuimba mapambio.
 
Sidhani kuna mwanayanga ameumia kufungwa na Azam leo sababu tulikuwa pungufu na pia Azam hajawahi kuwa mpinzani wetu, sisi uto raha yetu ni kumchinja mnyama tu basi. Makolo leo sherehe! Azam wasijisifu sababu bado hawajafikia ubora wa Yanga wameifunga Yanga pungufu hicho si kipimo sahihi. Azam bado sana kuifikia Yanga ambayo leo mchezaji wake mmoja tu Ibra Baka alikuwa na siku mbaya kazini wakapata advantage.

Azam wanajulikana kwa kuikamia Yanga tu ligi nzima ili wachezaji kujiuza kwa Gamondi aokote japo mmoja wao na baadae kufungwa kirahisi na vibonde kama Simba , KMC, Coastal union na vibonde wengine, hata Mayele ashawahi kusema kuhusu hilo, Azam wakamshukia vibaya. Leo Msindo kacheza kama beki, kama striker na kama midfielder, yaani kijana kajitoa asilimia 200! Mechi ijayo atajitoa asilimia 10!!

My take
Baka akumbushwe kuacha masifa ya kijinga kutafuta red card za kujitakia na kulazimisha maana hiyo ni aina ya uchezaji wa mabeki wa vitimu vidogo kama Azam, Simba, Namungo na vibonde wengine. Baka akumbushwe yuko timu kubwa Africa aache kucheza ndondo. Alichopaswa kufanya Baka ni kujilinda kwa kumuacha mshambuliaji akapambane na Diarra kipa bora wa ligi, mbona Ateba aliachwa akiwa offside na Diarra akaokoa. Na hata kama Saaduni angefunga Yanga kamili ingerudisha goli na kuongeza kama ambavyo tumeshawafanya Azam mara nyingi, tunatangulia kufungwa kipindi cha pili huwa ni msako mkali. Ni kosa kubwa lisilovumilika mchezaji wa Yanga kulazimisha kupewa red card ya kujitakia maana Yanga ni bora ikiwa kamili.
 
Na hizo mechi walizoshinda;
1. Wapinzani walipunguzwa kwa Kadi nyekundu.
2. Magoli ya Wapinzani yamekataliwa waz wazi mf. Mechi na Kengold.
3. Wachezaji wa Yanga wamecheza madhambi ya Penati au kushika mpira kwenye 18 pasipo kuadhibiwa.
4. Marefa wamefanya makosa ya kibinadamu isivyo kawaida.
5. Wamecheza na Timu za Jiesimu kama zote. Kwa kifupi hao Watopolo kwa sasa wana Timu imara mnoooo wanaongoza ligi na watachukua mapema mnoo tuendelee kuimba mapambio.
Nikweli kabisa hata simba nae alieliwa kimoja nae anafadhiliwa na gsm
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)
25. Manguruwe SC.
JamiiForums-2104962820.jpeg
 

...Kuna siku mkongwe @edokumwembe alisema Yanga wako karibu zaidi kupoteza mchezo au kutoa sare kuliko kushinda watu hawakumuelewa...

Kuna Wachambuzi pale Wasafi Fm walitanabaisha ubora wa Yanga viongozi wakapiga simu studio na kuanza kukosoa...

Iko hivi...

Kabla ya Yanga kupoteza walikua wamecheza mechi 7 na kushinda zote...

Katika kushinda hizo zote,Mechi 5 kati ya 7 walishinda kwa bao 1-0.

Mechi mbili wakashinda kwa mabao 2+ (4-0 vs Pamba na 2-0 vs JKT Tanzania)

Tafsiri nyepesi ni kwamba ushindi wa bao 1-0 kwenye mechi 5 kati ya 7 maana yake safu yako ya Ushambuliaji ina tegemea uimara wa safu ya ulinzi kushinda mechi.

Yaani timu ipo karibu zaidi kumaliza mchezo bila bao...ndio ukaribu wa sare au kufungwa..

Kama kwenye hizo mechi 5 wangeruhusu bao kwenye mechi mbili au 3 maana yake wangedondosha alama..

Leo safu ya Ushambuliaji haijafunga na safu ya ulinzi imefungwa ndio maana utofauti kwenye mchezo umeonekana.

Ukweli Yanga wana struggle kufunga mabao msimu huu tofauti na misimu iliyopita ingawa Kuna watu hawataki kuamini hicho kitu...

Project inaelekea mwishoni hii...

#NB: Lile goli hata uwaweke kina Diarra wawili wanakufa pale...

✍️Sospeter Ilagila

Na Kuna mechi ya Coastal walizawadiwa goli la offside.
 
Ni ile red card tu ndio iliwaaribia, maana pamoja na kuwa pungufu bado yanga alikua timu bora uwanjani mpaka mwisho wa mechi.

Uenda msimu huu shauku yao zaidi ni mashindano ya kimataifa ndio maana huku kwenye ligi wanacheza kimkakati tu, yaani muhimu point 3.
 
Sidhani kuna mwanayanga ameumia kufungwa na Azam leo sababu tulikuwa pungufu na pia Azam si mpinzani wetu sisi uto raha yetu ni kumchinja mnyama tu basi. Makolo leo sherehe! Azam wasijisifu sababu bado hawajafikia ubora wa Yanga wameifunga Yanga pungufu hicho si kipimo sahihi. Azam bado sana kuifikia Yanga ambayo leo mchezaji wake mmoja tu Ibra Baka alikuwa na siku mbaya kazini wakapata advantage.

Azam wanajulikana kwa kuikamia Yanga na kufungwa kirahisi na vibonde kama Simba , Coastal union na vibonde wengine, hata Mayele ashawahi kusema Azam wakamshukia vibaya.

My take
Baka akumbushwe kuacha masifa ya kijinga kutafuta red card za kujitakia maana hiyo ni aina ya uchezaji wa mabeki wa vitimu vidogo kama Azam, Simba na wengine. Baka akumbushwe yuko timu kubwa Africa aache kucheza ndondo. Alichopaswa kufanya Baka ni kujilinda kwa kumuacha mshambuliaji akapambane na Diarra kipa bora wa ligi, mbona Ateba aliachwa akiwa offside na Diarra akaokoa. Na hata kama Saaduni angefunga Yanga kamili ingerudisha goli na kuongeza kama ambavyo tumeshawafanya Azam mara nyingi, tunatangulia kufungwa kipindi cha pili huwa ni msako mkali.
Maelezo meeengi broo!!
 
Back
Top Bottom