Jifunze kwanza kutumia Smart phone Bw mdogo. Sasa ndio umeandika mashudu gani hapa? Rudi shule zimefunguliwa kwa sasa na ada ni bure. Elimu haina Mwisho mkuu.Tatizo nyie wajinga mnatumiage pua kufikiri.mnawekeza sana kwenye Majungu mnaacha kucheza mpira.tungeshinda mngesema ohh GSM tukipoteza mnahamia oohh timu za GSM zimeisha.mnasahau nyie wenyewe mmepihwa matano juu,je na nyie ni GSM?yaani nyie wanasimba hamna tofauti na walozi.ni watu wa ajabu sana nyie mnabidi niende milembe