Utabiri wa Edo Kumwembe umetimia

Utabiri wa Edo Kumwembe umetimia

Ligi ya Tanzania ina loopholes nyingi za kuamua mechi.
 
Sidhani kuna mwanayanga ameumia kufungwa na Azam leo sababu tulikuwa pungufu na pia Azam si mpinzani wetu sisi uto raha yetu ni kumchinja mnyama tu basi. Makolo leo sherehe! Azam wasijisifu sababu bado hawajafikia ubora wa Yanga wameifunga Yanga pungufu hicho si kipimo sahihi. Azam bado sana kuifikia Yanga ambayo leo mchezaji wake mmoja tu Ibra Baka alikuwa na siku mbaya kazini wakapata advantage.

Azam wanajulikana kwa kuikamia Yanga na kufungwa kirahisi na vibonde kama Simba , Coastal union na vibonde wengine, hata Mayele ashawahi kusema Azam wakamshukia vibaya.

My take
Baka akumbushwe kuacha masifa ya kijinga kutafuta red card za kujitakia maana hiyo ni aina ya uchezaji wa mabeki wa vitimu vidogo kama Azam, Simba na wengine. Baka akumbushwe yuko timu kubwa Africa aache kucheza ndondo. Alichopaswa kufanya Baka ni kujilinda kwa kumuacha mshambuliaji akapambane na Diarra kipa bora wa ligi, mbona Ateba aliachwa akiwa offside na Diarra akaokoa. Na hata kama Saaduni angefunga Yanga kamili ingerudisha goli na kuongeza kama ambavyo tumeshawafanya Azam mara nyingi, tunatangulia kufungwa kipindi cha pili huwa ni msako mkali.
Mimi nilishaongea huko nyuma kuhusu Baka baada ya kumuona kwenye mechi za kimataifa, nilisema Baka mchezaji mzuri ila uhuni uhuni wa kijinga hauna nafasi kwenye mpira anatakiwa ajifunze kuwa na nidhamu acheze kama mchezaji mkubwa. Nadhani anahitaji kocha mzuri na kumwambia ukweli.
 

...Kuna siku mkongwe @edokumwembe alisema Yanga wako karibu zaidi kupoteza mchezo au kutoa sare kuliko kushinda watu hawakumuelewa...

Kuna Wachambuzi pale Wasafi Fm walitanabaisha ubora wa Yanga viongozi wakapiga simu studio na kuanza kukosoa...

Iko hivi...

Kabla ya Yanga kupoteza walikua wamecheza mechi 7 na kushinda zote...

Katika kushinda hizo zote,Mechi 5 kati ya 7 walishinda kwa bao 1-0.

Mechi mbili wakashinda kwa mabao 2+ (4-0 vs Pamba na 2-0 vs JKT Tanzania)

Tafsiri nyepesi ni kwamba ushindi wa bao 1-0 kwenye mechi 5 kati ya 7 maana yake safu yako ya Ushambuliaji ina tegemea uimara wa safu ya ulinzi kushinda mechi.

Yaani timu ipo karibu zaidi kumaliza mchezo bila bao...ndio ukaribu wa sare au kufungwa..

Kama kwenye hizo mechi 5 wangeruhusu bao kwenye mechi mbili au 3 maana yake wangedondosha alama..

Leo safu ya Ushambuliaji haijafunga na safu ya ulinzi imefungwa ndio maana utofauti kwenye mchezo umeonekana.

Ukweli Yanga wana struggle kufunga mabao msimu huu tofauti na misimu iliyopita ingawa Kuna watu hawataki kuamini hicho kitu...

Project inaelekea mwishoni hii...

#NB: Lile goli hata uwaweke kina Diarra wawili wanakufa pale...

✍️Sospeter Ilagila
Wamezoea kusikia vitu vizuri hawapendi kuambiwa ukweli mchungu!
 
Sidhani kuna mwanayanga ameumia kufungwa na Azam leo sababu tulikuwa pungufu na pia Azam si mpinzani wetu sisi uto raha yetu ni kumchinja mnyama tu basi. Makolo leo sherehe! Azam wasijisifu sababu bado hawajafikia ubora wa Yanga wameifunga Yanga pungufu hicho si kipimo sahihi. Azam bado sana kuifikia Yanga ambayo leo mchezaji wake mmoja tu Ibra Baka alikuwa na siku mbaya kazini wakapata advantage.

Azam wanajulikana kwa kuikamia Yanga na kufungwa kirahisi na vibonde kama Simba , Coastal union na vibonde wengine, hata Mayele ashawahi kusema Azam wakamshukia vibaya.

My take
Baka akumbushwe kuacha masifa ya kijinga kutafuta red card za kujitakia maana hiyo ni aina ya uchezaji wa mabeki wa vitimu vidogo kama Azam, Simba na wengine. Baka akumbushwe yuko timu kubwa Africa aache kucheza ndondo. Alichopaswa kufanya Baka ni kujilinda kwa kumuacha mshambuliaji akapambane na Diarra kipa bora wa ligi, mbona Ateba aliachwa akiwa offside na Diarra akaokoa. Na hata kama Saaduni angefunga Yanga kamili ingerudisha goli na kuongeza kama ambavyo tumeshawafanya Azam mara nyingi, tunatangulia kufungwa kipindi cha pili huwa ni msako mkali.
Acha kukariri maisha we utopwinyo waheed
 
Sidhani kuna mwanayanga ameumia kufungwa na Azam leo sababu tulikuwa pungufu na pia Azam si mpinzani wetu sisi uto raha yetu ni kumchinja mnyama tu basi. Makolo leo sherehe! Azam wasijisifu sababu bado hawajafikia ubora wa Yanga wameifunga Yanga pungufu hicho si kipimo sahihi. Azam bado sana kuifikia Yanga ambayo leo mchezaji wake mmoja tu Ibra Baka alikuwa na siku mbaya kazini wakapata advantage.

Azam wanajulikana kwa kuikamia Yanga na kufungwa kirahisi na vibonde kama Simba , Coastal union na vibonde wengine, hata Mayele ashawahi kusema Azam wakamshukia vibaya.

My take
Baka akumbushwe kuacha masifa ya kijinga kutafuta red card za kujitakia maana hiyo ni aina ya uchezaji wa mabeki wa vitimu vidogo kama Azam, Simba na wengine. Baka akumbushwe yuko timu kubwa Africa aache kucheza ndondo. Alichopaswa kufanya Baka ni kujilinda kwa kumuacha mshambuliaji akapambane na Diarra kipa bora wa ligi, mbona Ateba aliachwa akiwa offside na Diarra akaokoa. Na hata kama Saaduni angefunga Yanga kamili ingerudisha goli na kuongeza kama ambavyo tumeshawafanya Azam mara nyingi, tunatangulia kufungwa kipindi cha pili huwa ni msako mkali.
Una maumivu makali,pole chura wa kijani na huu ni mwanzo tu mtachenyetwa sana.
 
Mapungufu ya Yanga ni machache kuliko wapinzani wote wanao shindana nae.
Ukitaka kuona ilo iyo mechi Yanga wamecheza pungufu dk 60 na zaidi ila wao ndio ilikua timu inayo shikilia na ku ulazimisha mchezo.

Haikua bahati tu kwa Yanga kupata Goli maana walitengeneza nafasi na ata Yanga wange sawazisha na kushinda isingekua ajabu kwa wale waliokua wakuangalia mechi.

Kama timu inaweza kucheza pungufu kwa kiwango kile ivi Kuna timu ya kuinyang'anya Ubingwa Yanga!!

Yanga bingwa.
 
Na hizo mechi walizoshinda;

1. Wapinzani walipunguzwa kwa Kadi nyekundu.

2. Magoli ya Wapinzani yamekataliwa waz wazi mf. Mechi na Kengold.

3. Wachezaji wa Yanga wamecheza madhambi ya Penati au kushika mpira kwenye 18 pasipo kuadhibiwa.

4. Marefa wamefanya makosa ya kibinadamu isivyo kawaida.

5. Wamecheza na Timu za Jiesimu kama zote. Kwa kifupi hao Watopolo kwa sasa wana Timu imara mnoooo wanaongoza ligi na watachukua mapema mnoo tuendelee kuimba mapambio.
namba 2 imeonesha una mahaba sio mapenzi kwamba lile ni goli la kengold

namba 4 ukisoma unacheka sana,kuna refa alitoa njano mtu wa mwisho alipo fanya madhambi wala hakuna malalamiko
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC
22. Ubaya ubwege SC.
23. 5imba SC.
24. Visingizio SC (Visababu)View attachment 3142185
Hii ni chuki kiwango cha lami hata Hitler aliwachukia wayahudi ila haikuwa ya kiwango hiking.
 
Daima Mbele
IMG-20241103-WA0000.jpg
IMG-20241103-WA0000.jpg
 
Sio kweli kwamba yanga imeshuka kiwango ila timu nyingi zinaichukulia yanga kwa ukubwa wake na zinajiandaa vilivyo.
Baada ya yanga kufungwa na azam,,mechi zinazofuata za yanga itaonekana kiwango chake kimepanda nayo pia haitakua kweli...ila sababu itakua ni timu nyingi zitaamini yanga sio timu tishio na inafungika.
 
Maelezo meeengi broo!!
Yes bro, I have written to wachezaji wetu uto, ujumbe haukuwa wako ndo maana umepata nao shida na kosa ni lako kuzamia sherehe ambayo hukualikwa na kuanza kula wali kabla ya mgeni rasmi na mwingine kubeba kwenye shati!!
 
Kupoteza kawaida ila mnajimaliza Sana,Baka amewahi Fanya lini uhuni?
Mimi nilishaongea huko nyuma kuhusu Baka baada ya kumuona kwenye mechi za kimataifa, nilisema Baka mchezaji mzuri ila uhuni uhuni wa kijinga hauna nafasi kwenye mpira anatakiwa ajifunze kuwa na nidhamu acheze kama mchezaji mkubwa. Nadhani anahitaji kocha mzuri na kumwambia ukwel
 
Sidhani kuna mwanayanga ameumia kufungwa na Azam leo sababu tulikuwa pungufu na pia Azam hajawahi kuwa mpinzani wetu, sisi uto raha yetu ni kumchinja mnyama tu basi. Makolo leo sherehe! Azam wasijisifu sababu bado hawajafikia ubora wa Yanga wameifunga Yanga pungufu hicho si kipimo sahihi. Azam bado sana kuifikia Yanga ambayo leo mchezaji wake mmoja tu Ibra Baka alikuwa na siku mbaya kazini wakapata advantage.

Azam wanajulikana kwa kuikamia Yanga tu ligi nzima ili wachezaji kujiuza kwa Gamondi aokote japo mmoja wao na baadae kufungwa kirahisi na vibonde kama Simba , KMC, Coastal union na vibonde wengine, hata Mayele ashawahi kusema kuhusu hilo, Azam wakamshukia vibaya. Leo Msindo kacheza kama beki, kama striker na kama midfielder, yaani kijana kajitoa asilimia 200! Mechi ijayo atajitoa asilimia 10!!

My take
Baka akumbushwe kuacha masifa ya kijinga kutafuta red card za kujitakia na kulazimisha maana hiyo ni aina ya uchezaji wa mabeki wa vitimu vidogo kama Azam, Simba, Namungo na vibonde wengine. Baka akumbushwe yuko timu kubwa Africa aache kucheza ndondo. Alichopaswa kufanya Baka ni kujilinda kwa kumuacha mshambuliaji akapambane na Diarra kipa bora wa ligi, mbona Ateba aliachwa akiwa offside na Diarra akaokoa. Na hata kama Saaduni angefunga Yanga kamili ingerudisha goli na kuongeza kama ambavyo tumeshawafanya Azam mara nyingi, tunatangulia kufungwa kipindi cha pili huwa ni msako mkali. Ni kosa kubwa lisilovumilika mchezaji wa Yanga kulazimisha kupewa red card ya kujitakia maana Yanga ni bora ikiwa kamili.
Wamefungwa pungufu sababu huwa hukumu halali ya wachezaji wenu wanaocheza vibaya hawaipati, huyo mudathir na aucho wanacheza vibaya kuanzia dk 1 mpaka mwisho hawahukumiwi.
Mara nyingi sana wanazuia watu wasifunge kwa kufanya faulo ambazo waamuzi hawatoi hukumu sahihi. Kwa hiyo utopolo jifunzeni kucheza mpira clean muone.
 
Back
Top Bottom