Utabiri wa Edo Kumwembe umetimia

Uto baaaas tena
 
 
Yaani kusema Yanga watafungwa tu ndio katimia wanafungwa Madrid na na watu pale sembuse Yanga aisee Nchi yetu ina watu tumedumaa sana kwa sababu ya kula Sembe..
 
ule ulikuwa mpango wa mwalimu wa azam watu wako pungufu, unaongoza goli 1, unajua kabisa hawawezi kuchomoa ya nini kujichosha na kuweka ushindi wako rehani? Hata mlivyokua 11 azam aliwamudu tu vizuri.
 
Kuifunga Yanga yenye wachezaji 10 uwanjani si kipimo sahihi cha ubora wa Azam Mkuu, be honest to yourself, Yanga kamili bado haifungiki, wimbo bado umesimama pale pale mtani.
kwani hiyo kadi nyekundu yanga waliipataje? Azam msimu uliopita alikupopoa ukiwa kamili why not today?
 
simba tulishawahi kuwafunga tukiwa pungufu ulikuwa bado hujazaliwa ndugu chura??
 
simba tulishawahi kuwafunga tukiwa pungufu ulikuwa bado hujazaliwa ndugu chura??

Simba tulishawahi kuwafunga tukiwa pungufu ulikuwa bado hujazaliwa ndugu chura
 
Na hizo mechi walizoshinda;

1. Wapinzani walipunguzwa kwa Kadi nyekundu.

2. Magoli ya Wapinzani yamekataliwa waz wazi mf. Mechi na Kengold.
Ikiwa goli halijaingia inatakiwa likakataliewe shimoni au uvunguni mwa kitanda?
3. Wachezaji wa Yanga wamecheza madhambi ya Penati au kushika mpira kwenye 18 pasipo kuadhibiwa.
Huo ni mchezo, mbona ya wachezaji wa Yanga hauyaongelei?
4. Marefa wamefanya makosa ya kibinadamu isivyo kawaida.
5. Wamecheza na Timu za Jiesimu kama zote.
Kumbe GSM ana timu? Simba nayo kumbe ni timu ya GSM?
Kwa kifupi hao Watopolo kwa sasa wana Timu imara mnoooo wanaongoza ligi na watachukua mapema mnoo tuendelee kuimba mapambio.
Kumbe unalijua? Au uliamaniwachukueubingwa pasipo kupoteza?
 
Yes bro, I have written to wachezaji wetu uto, ujumbe haukuwa wako ndo maana umepata nao shida na kosa ni lako kuzamia sherehe ambayo hukualikwa na kuanza kula wali kabla ya mgeni rasmi na mwingine kubeba kwenye shati!!
Mkifungwa mnaandika balaa
 
Unaamini kadi nyekundu inapunguza uwezo wa timu?Kuna timu moja hapa bongo ilipewa nyekundu ikiwa imefungwa moja na ikashinda mechi hiyo
 
Tatizo nyie wajinga mnatumiage pua kufikiri.mnawekeza sana kwenye Majungu mnaacha kucheza mpira.tungeshinda mngesema ohh GSM tukipoteza mnahamia oohh timu za GSM zimeisha.mnasahau nyie wenyewe mmepihwa matano juu,je na nyie ni GSM?yaani nyie wanasimba hamna tofauti na walozi.ni watu wa ajabu sana nyie mnabidi niende milembe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…