Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itoke mara ngapi?Subiri itoke mishahara kama huamini
Abunuasi ni yule atakayerubuniwa siku ya mnada.Abunuwasi Ni wengi kipindi hiki
Itoke mara ngapi?
Sasa watawakamataje?Kuna waraka wa kutoka hazinaa kuwa watumishi wa umma walienda kutangaza nia hakuna kulipwa mshahaara mwezi huu
Watumishi wa bongo ukiwapa elfu hamsini tu tarehe 26 October hapo watakupigia kampeni nyumba hadi nyumba na tar 28 kura wanakupaKila mtumishi ana watu sita nyuma yake wanaomtegemea.
Kama majority wana hasira dhidi yake basi hizo siyo chini ya kura milion 3 zitakwenda upinzani
Mwajiri ndo atawakamataSasa watawakamataje?
Au mtu aliondoka kazini kwa mbwembwe mpaka siri ivuje?.
Kwani tunaongozwa kwa waraka au sheria?
Magufuli ni Mtu wa Propaganda hakuna analosema likawa sahihi,,,,Acha kusubiri Agost,,Isubiri October Nenda kapige kura,,,Na usifanye Makosa,,wewe na uwahamasishe wanaokuzunguka vinginevyo Miaka 5 ijayo itakua michungu zaidi kwa Watumishi!.
Subiri itoke mishahara kama huamini
mkuu inapandaje kama uko daraja D ?Subiri itoke mishahara kama huamini
Gross salary haijapanda ila take home zitaongezeka kwa kuwa kodi imepunguzwa
mkuu inapandaje kama uko daraja D ?
Mwajiri ndo atawakamataView attachment 1513673
Upandsh wa mishahara hautegemei Bunge kwa mkataba wa mtumishi upo waz kuw ana Haki ya increament kutoka na hali ya kiuchumi,Bunge la kupitisha hiyo mishahara liko wapi?Labda aendelee kuvunja sheria na katiba ya nchi kwa kuamua yeye kama yeye.
Mkuu kodi haijapunguzwa, kilichochezeshwa ni "Threshold ya PAYE" ( Kima cha chini cha mshahara kisichokatwa kodi ndo kimeongezeka), akili kubwa imecheza hapa!
Na amesisitiza leo kuwa yeye ameshakua sugu!mimi ni jiwe,ukinipangia ndio unaharibu kabisaa[emoji23][emoji23][emoji23]