Utabiri wa kweli: Watumishi wa Umma watapandishiwa mishahara Agosti 2020

Utabiri wa kweli: Watumishi wa Umma watapandishiwa mishahara Agosti 2020

Habari waungwana?

Kwenye bajeti kuu ya mwaka wa fedha 2020/2021 watumishi wa umma walisahaulika kwa makusudi kabisa.

Lakini maji ya shingo yatakapomfika Mheshimiwa kipindi cha kampeni atakuwa na karata chache sana mkononi na zote ni spesho (hazifungi). Atajitetete kwa kupandisha mishahara ghafla huku lawama ya kuwagandisha watumishi kwa muda mrefu atawaangushia watendaji wake.
naunga mkono hoja mkuu
 
Inaonekana wanabodi wengi wa JF ama sio waajiriwa wa Serikali, au hawana mguso na mambo yanavyoenda Serikalini au wanafanya kusudi kwa kili mtu inavyo mpendeza.

Baada ya kufanya mageuzi ya mfumo wa undeshaji serikalini hasa madaraja ya waajiriwa, Mishahara imebadilika sana Serikalini. Mzee wa Msoga aliacha mfumo wa uendeshaji hasa wa Utumishi umekufa na unapofanya kazi hauna formular ambayo yeyote Mtawala anweza kuuendesha utumishi wa Umma bila kukumbana na vipingamizi. Hapa ninapo andika hivi wako watumishi na waalimu ambao ni waajiriwa wa Utumishi wa Umma naomba mchangie, na mseme ukweli ulivyo.
 
Inaonekana wanabodi wengi wa JF ama sio waajiriwa wa Serikali, au hawana mguso na mambo yanavyoenda Serikalini au wanafanya kusudi kwa kili mtu inavyo mpendeza.

Baada ya kufanya mageuzi ya mfumo wa undeshaji serikalini hasa madaraja ya waajiriwa, Mishahara imebadilika sana Serikalini. Mzee wa Msoga aliacha mfumo wa uendeshaji hasa wa Utumishi umekufa na unapofanya kazi hauna formular ambayo yeyote Mtawala anweza kuuendesha utumishi wa Umma bila kukumbana na vipingamizi. Hapa ninapo andika hivi wako watumishi na waalimu ambao ni waajiriwa wa Utumishi wa Umma naomba mchangie, na mseme ukweli ulivyo.
Hujaeleweka unataka nini mkuu
 
Habari waungwana?

Kwenye bajeti kuu ya mwaka wa fedha 2020/2021 watumishi wa umma walisahaulika kwa makusudi kabisa.

Lakini maji ya shingo yatakapomfika Mheshimiwa kipindi cha kampeni atakuwa na karata chache sana mkononi na zote ni spesho (hazifungi). Atajitetete kwa kupandisha mishahara ghafla huku lawama ya kuwagandisha watumishi kwa muda mrefu atawaangushia watendaji wake

Jambo hilo halihitaji ramli kwani tulishalisemea kitambo kuwa itakuwa hivyo
 
Wengi wetu tunataka kujua, mwezi huu/ mwaka huu wa fedha kuna chochote kitaongezeka kwenye mishahara au kodi itapungua? Na ukiongezeka ni kwa kiasia gani? Kwa hisia zangu binafsi Serikali ya hawamu ya Tano haiwezi kuongeza hata senti kwa watumishi wa umma labda vyombo vya ulinzi na usalama tuu.
 
Watumishi hawajitambui. Na hao ndio kinga ya ccm, huko utumishi kuna wajinga wengi sana.
 
Hujaeleweka unataka nini mkuu
Hawaji hapa sababu hawataki kusema mishahara imebadilika sana mpaka muda huu, na mabadiliko ya pili yanakuja July/ August. Wanakimbia kutoa mcha ngo hapa. Ila wanafanya ambao ama sisi wenyewe au wake zetu ni watumishi wa Serikali tuonekane tunasema kitu ambacho hakipo.
Ila ukimya ukizidi tutapandisha salary slips zetu ambazo zitasema zenyewe..
 
Hawaji hapa sababu hawataki kusema mishahara imebadilika sana mpaka muda huu, na mabadiliko ya pili yanakuja July/ August. Wanakimbia kutoa mcha ngo hapa. Ila wanafanya ambao ama sisi wenyewe au wake zetu ni watumishi wa Serikali tuonekane tunasema kitu ambacho hakipo.
Ila ukimya ukizidi tutapandisha salary slips zetu ambazo zitasema zenyewe..
Sijui kama nimekuelewa mkuu, kwahiyo unataka kusema kuwa namba zimeongezeka au zitaongezeka kwenye hati za mishahara ya wafanyakazi?
 
Habari waungwana?

Kwenye bajeti kuu ya mwaka wa fedha 2020/2021 watumishi wa umma walisahaulika kwa makusudi kabisa.

Lakini maji ya shingo yatakapomfika Mheshimiwa kipindi cha kampeni atakuwa na karata chache sana mkononi na zote ni spesho (hazifungi). Atajitetete kwa kupandisha mishahara ghafla huku lawama ya kuwagandisha watumishi kwa muda mrefu atawaangushia watendaji wake

Kwanza mchakato wa mgombea URAIS kwa tiketi ya CCM uanze upya. Haiwezekani ichapishwe fomu moja tu. Ni demokrasia ya wapi hii?.
 
Mimi ni mtumishi wa serekali tena mwajiriwa 2014 hadi sasa hakuna cha nyongeza wala daraja!!!nashangaa mnavyoandika ujinga jukwaani
 
Mimi ni mtumishi wa serekali tena mwajiriwa 2014 hadi sasa hakuna cha nyongeza wala daraja!!!nashangaa mnavyoandika ujinga jukwaani
 
Hiyo itakuwa RUSHWA mchana kweupee na TAKUKURU itabidi wawajibike!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
 
Habari waungwana?

Kwenye bajeti kuu ya mwaka wa fedha 2020/2021 watumishi wa umma walisahaulika kwa makusudi kabisa.

Lakini maji ya shingo yatakapomfika Mheshimiwa kipindi cha kampeni atakuwa na karata chache sana mkononi na zote ni spesho (hazifungi). Atajitetete kwa kupandisha mishahara ghafla huku lawama ya kuwagandisha watumishi kwa muda mrefu atawaangushia watendaji wake
Anakuambia yeye wakati wa kampeni hakuwai ongea chochote kuhusu katiba that's why hajai ifuata so wa TZ kuhusu changes za hii inchi tusubir awamu nyingne 25 to 30 hapa katikati ni mwendo mdundo mbele kwa mbele.
 
Back
Top Bottom