LIMBOMAMBOMA
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 10,482
- 14,007
Mtumishi Wa umma atakayempa kura jpm hajipendi kabisa.Jpm katesa sana watumishi Wa umma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wenye kufikiri vyema tumejua,anaweza kupunguza kodi lakini sio kuongeza mshahara kwa sababu ni rahisi sana kufanya marekebisho ya kodi (kuongeza baada ya uchaguzi) na kurudi kwenye mishahara ya zamani, lakini ukiongeza mshahara basic salary,huwezi kuipunguza kirahisi!Habari waungwana?
Kwenye bajeti kuu ya mwaka wa fedha 2020/2021 watumishi wa umma walisahaulika kwa makusudi kabisa.
Lakini maji ya shingo yatakapomfika Mheshimiwa kipindi cha kampeni atakuwa na karata chache sana mkononi na zote ni spesho (hazifungi). Atajitetete kwa kupandisha mishahara ghafla huku lawama ya kuwagandisha watumishi kwa muda mrefu atawaangushia watendaji wake
Na amesisitiza leo kuwa yeye ameshakua sugu!
Wakina SUGU sasa wapo wawili ndani ya jamhuri,yule SUGU wa MBEYA na huyu SUGU wa CHATO!!
Hiyo itakuwa RUSHWA mchana kweupee na TAKUKURU itabidi wawajibike!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
Hiyo itakuwa RUSHWA mchana kweupee na TAKUKURU itabidi wawajibike!
😅
👊 ✌️✌️✌️💥
Uchangiaji wa hivi mi huwa siupendelei!!!kwa hiyo unataka tusiongezwe mishahara?!!
Ukiwa hujaongezewa mshahara usininune na wewe punguza kura mshawishi na mwezako kufanya hivyo!Habari waungwana?
Kwenye bajeti kuu ya mwaka wa fedha 2020/2021 watumishi wa umma walisahaulika kwa makusudi kabisa.
Lakini maji ya shingo yatakapomfika Mheshimiwa kipindi cha kampeni atakuwa na karata chache sana mkononi na zote ni spesho (hazifungi). Atajitetete kwa kupandisha mishahara ghafla huku lawama ya kuwagandisha watumishi kwa muda mrefu atawaangushia watendaji wake
Wote sio wenzako ,,kama hujapata tuliza matako! Isubiri unachokisema,,,,na hicho kihehere kanirithisha MAMA AKO?Mbona una kihele hele... sasa hv wanachomoa mishaharj ya watia nia then itarushwa
Wote sio wenzako ,,kama hujapata tuliza matako! Isubiri unachokisema,,,,na hicho kihehere kanirithisha MAMA AKO?Mbona una kihele hele... sasa hv wanachomoa mishaharj ya watia nia then itarushwa
Habari waungwana?
Kwenye bajeti kuu ya mwaka wa fedha 2020/2021 watumishi wa umma walisahaulika kwa makusudi kabisa.
Lakini maji ya shingo yatakapomfika Mheshimiwa kipindi cha kampeni atakuwa na karata chache sana mkononi na zote ni spesho (hazifungi). Atajitetete kwa kupandisha mishahara ghafla huku lawama ya kuwagandisha watumishi kwa muda mrefu atawaangushia watendaji wake
Mshahara wako ni shingapi mkuu?
Hiyo si nyongeza ni punguzo la kodi ndio imekuja kwako waona kama nyungeza...Hapa kaniongezea kama 30k baada ya kupunguza kodi
Hawaji hapa sababu hawataki kusema mishahara imebadilika sana mpaka muda huu, na mabadiliko ya pili yanakuja July/ August. Wanakimbia kutoa mcha ngo hapa. Ila wanafanya ambao ama sisi wenyewe au wake zetu ni watumishi wa Serikali tuonekane tunasema kitu ambacho hakipo.
Ila ukimya ukizidi tutapandisha salary slips zetu ambazo zitasema zenyewe..
SOMA TENA, JAPO HAIPO VERY CLEAR ILA NDO NLIVOMAANISHAHiyo si nyongeza ni punguzo la kodi ndio imekuja kwako waona kama nyungeza...
Labda mishahara ya watumishi wa CCM makao makuuHabari waungwana?
Kwenye bajeti kuu ya mwaka wa fedha 2020/2021 watumishi wa umma walisahaulika kwa makusudi kabisa.
Lakini maji ya shingo yatakapomfika Mheshimiwa kipindi cha kampeni atakuwa na karata chache sana mkononi na zote ni spesho (hazifungi). Atajitetete kwa kupandisha mishahara ghafla huku lawama ya kuwagandisha watumishi kwa muda mrefu atawaangushia watendaji wake
Hajaongeza hata senti moja bali kapunguza kodi kuduchu.Mimi naona kilichoongezeka ni annual increment. Hakuna nyongeza in real
Kodi gani imepunguzwa?Hajaongeza hata senti moja bali kapunguza kodu kuduchu.
PAYEKodi gani imepunguzwa?
Alisema akimaliza muda wake atapandisha labda mda ushafikaHabari waungwana?
Kwenye bajeti kuu ya mwaka wa fedha 2020/2021 watumishi wa umma walisahaulika kwa makusudi kabisa.
Lakini maji ya shingo yatakapomfika Mheshimiwa kipindi cha kampeni atakuwa na karata chache sana mkononi na zote ni spesho (hazifungi). Atajitetete kwa kupandisha mishahara ghafla huku lawama ya kuwagandisha watumishi kwa muda mrefu atawaangushia watendaji wake