KANYEGELO JF-Expert Member Joined Nov 12, 2019 Posts 2,238 Reaction score 4,885 Jul 25, 2020 #81 Walichofanya mwezi huuwa saba wamepunguza kodi mm mwenyewe nimeona nimepata 47,k imeongezeka kwenye mshahara wangu .... Angalau kidogo hapo sasa ndio najua imeshatoka kabisa
Walichofanya mwezi huuwa saba wamepunguza kodi mm mwenyewe nimeona nimepata 47,k imeongezeka kwenye mshahara wangu .... Angalau kidogo hapo sasa ndio najua imeshatoka kabisa
Iselamagazi JF-Expert Member Joined Sep 26, 2011 Posts 6,020 Reaction score 6,161 Jul 25, 2020 #82 Lukataluko said: Mshahara wako ni shingapi mkuu? Click to expand... Mshahara wa mtu hautangazwi ovyo hadharani.
Lukataluko said: Mshahara wako ni shingapi mkuu? Click to expand... Mshahara wa mtu hautangazwi ovyo hadharani.
Lambardi Platinum Member Joined Feb 7, 2008 Posts 18,813 Reaction score 21,830 Jul 25, 2020 #83 Nasikia ameongeza 30,000 tu .....ndani miaka 5 nyongeza ndio hiyo kwa mujibu wa sheria
Iselamagazi JF-Expert Member Joined Sep 26, 2011 Posts 6,020 Reaction score 6,161 Jul 25, 2020 #84 Pohamba said: Kuna schedule ya tax ya Paye kwny budget ya mwaka huu. Itakupa jibu, ni kama elf 51 ndio ongezeko Click to expand... Uko sahihi Chief Pohamba.
Pohamba said: Kuna schedule ya tax ya Paye kwny budget ya mwaka huu. Itakupa jibu, ni kama elf 51 ndio ongezeko Click to expand... Uko sahihi Chief Pohamba.