Sauti Moja Festival
Member
- May 8, 2023
- 19
- 41
Ni kweli alitoa utabiri huo na ilikuwa Dtv au channel 10 alikuwa na kipindi nilikiona wakati huo ilikuwa mida ya Kati ya Saa 2-3 usikuKipindi hicho video zilikuwa adimu sana, media zilizokuwa kwenye chati wakati huo ilikuwa magazeti na redio...
DuuhWakuu nimepita sehemu nikaikuta hii meme ambayo ilitengenezwa na Wataalam iki mnukuu aliyekuwa mtabiri na msoma nyota mashuhuri Afrika Mashariki na kati marehemu Sheikh Yahya Hussein, vipi huyu marehemu alikuwa anaona mbele zaidi?
Alichokitabiri kwa asilimia kubwa kimetimia, vipi mwaka wa uchaguzi 2025,Vyama vikuu vya upinzani ACT WAZALENDO na CHADEMA, Vitaigeuza CCM kuwa chama cha upinzani?
View attachment 3009639
Dunia imeingia kipindi kipya hivyo mabadiliko ya kiuongozi siyo sulala la mwanadamu kutaka hapana ni kwamba katika ratiba ya Mungu nyakati hizi mabadiliko ya uongozi ni lazima ili Mungu atimize makusudi yake.Mhu! Nilikuwa nafuatilia uchaguzi wa India na Africa Kusini nikajifunza kwamba vyama vikongwe duniani vinaendelea kupoteza 'mass support' nadhani kwa sababu ya kwamba 'mwenye shibe hamjui mwenye njaa'.
Hujui kusoma au ulisomea chini ya mti kwa kutumia vitabu vyenye maandishi makubwa na picha za rangi rangi kwa hiyo ukiandikiwa vitu kwenye screen ndogo bila kuweka picha au video huwezi kusoma na kuelewa?Weka video ya huo mkutano..
Weka video kwa ushahidi wa usemachoHujui kusoma au ulisomea chini ya mti kwa kutumia vitabu vyenye maandishi makubwa na picha za rangi rangi kwa hiyo ukiandikiwa vitu kwenye screen ndogo bila kuweka picha au video huwezi kusoma na kuelewa?
Nimesoma hii article pale kwenya magazeti ya Shigongo, ikanishtua kwa vile inaoneka utabiri wake ulikuwa kweli kabisa. je ni coincidence tu au ni kweli alikuwa anajua kupiga mahesabu ya kuona mbele? Najua kuwa aliwahi kutabiri kuwa mtu yeyote atakayechukua formu kumpiga Kikwete mwaka 2010 angekufa ghafla, watu ndani ya CCM ambao walikuwa wameshapanga mkakati wa kumng'oa Kiwkete mwaka 2010 wakaa kimya kabisa.
ALIYEKUWA Mtabiri maarufu Afrika Mashariki, Shehe Yahya Hussein aliitisha mkutano wa wahariri na waandishi wa habari mwaka 2006 na kuzungumzia utawala wa Rais Jakaya Kikwete ukiwa na umri wa mwaka mmoja tu.
Baada ya kuzungumza hayo nilipata nafasi ya kumuuliza. Je Tanzania baada ya Kikwete inaweza kupata rais mwanamke?
Shehe Yahya alinijibu:
“Baada ya vipindi viwili vya Rais Kikwete atakuja rais ambaye ni mweusi mchapa kazi lakini mchekeshaji sana, hata hivyo atatawaka kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata rais mwanamke.”
Wahariri na waandishi waliguna kuonesha kutokubaliana naye wakiwemo wahariri wakongwe Hemedi Kimwaga, Yasini Sadiki, Magnus Mahenge na wengine ambao siwezi kuwakumbuka.
Shehe Yahya baada ya kuona tunambishia alichukua ubao kama ule wa darasani na mkononi alishika kutabu kilichoandikwa Astrology: Monthly numerology, akaanza kufanya hesabu kwa fomula anazojua yeye na akatuambia kwamba kwa Jakaya inaonesha atamaliza muda wake wa miaka kumi na lakini ajaye ataongoza kwa kipindi kifupi.
Tulimuuliza ataongoza kwa muda mfupi kwa sababu gani, alisema hayo mengine yeye hawezi kujua lakini akasisitiza kwamba hivyo ndivyo itakavyokuwa. Tulitawanyika pale kila mmoja akiwa anaona kama amepigwa ‘changa la macho’.
Lakini sasa nimeng’amua kwamba kumbe alikuwa akimtabiria mama Samia bila yeye mama kujua tulichokuwa tunafanya.
HAKIKA SHEHE YAHYA ALIKUWA MNAJIMU WA KWELI.
Kumbuka haya yanatokea baada ya miaka 15 ya utabiri wake na mtabiri akiwa katangulia mbele za haki. Sheh Yahya alifariki mwaka 2011. Mungu ampe raha ya milele na amnusuru na adhabu ya kaburini.
Kwa vile unaonyesha hujui kusoma ndiyo maana huelewi nilichoandika; badala yake unataka video nikuonyeshe video ya nisemacho, ambapo iwapo ungekuwa unajua kusoma ungeniomba ama reference au link ya source.Weka video kwa ushahidi wa usemacho
Mkuu unaweza kutupa link ya article tukasome?Nimesoma hii article pale kwenya magazeti ya Shigongo, ikanishtua kwa vile inaoneka utabiri wake ulikuwa kweli kabisa. je ni coincidence tu au ni kweli alikuwa anajua kupiga mahesabu ya kuona mbele? Najua kuwa aliwahi kutabiri kuwa mtu yeyote atakayechukua formu kumpiga Kikwete mwaka 2010 angekufa ghafla, watu ndani ya CCM ambao walikuwa wameshapanga mkakati wa kumng'oa Kiwkete mwaka 2010 wakaa kimya kabisa.
ALIYEKUWA Mtabiri maarufu Afrika Mashariki, Shehe Yahya Hussein aliitisha mkutano wa wahariri na waandishi wa habari mwaka 2006 na kuzungumzia utawala wa Rais Jakaya Kikwete ukiwa na umri wa mwaka mmoja tu.
Baada ya kuzungumza hayo nilipata nafasi ya kumuuliza. Je Tanzania baada ya Kikwete inaweza kupata rais mwanamke?
Shehe Yahya alinijibu:
“Baada ya vipindi viwili vya Rais Kikwete atakuja rais ambaye ni mweusi mchapa kazi lakini mchekeshaji sana, hata hivyo atatawaka kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata rais mwanamke.”
Wahariri na waandishi waliguna kuonesha kutokubaliana naye wakiwemo wahariri wakongwe Hemedi Kimwaga, Yasini Sadiki, Magnus Mahenge na wengine ambao siwezi kuwakumbuka.
Shehe Yahya baada ya kuona tunambishia alichukua ubao kama ule wa darasani na mkononi alishika kutabu kilichoandikwa Astrology: Monthly numerology, akaanza kufanya hesabu kwa fomula anazojua yeye na akatuambia kwamba kwa Jakaya inaonesha atamaliza muda wake wa miaka kumi na lakini ajaye ataongoza kwa kipindi kifupi.
Tulimuuliza ataongoza kwa muda mfupi kwa sababu gani, alisema hayo mengine yeye hawezi kujua lakini akasisitiza kwamba hivyo ndivyo itakavyokuwa. Tulitawanyika pale kila mmoja akiwa anaona kama amepigwa ‘changa la macho’.
Lakini sasa nimeng’amua kwamba kumbe alikuwa akimtabiria mama Samia bila yeye mama kujua tulichokuwa tunafanya.
HAKIKA SHEHE YAHYA ALIKUWA MNAJIMU WA KWELI.
Kumbuka haya yanatokea baada ya miaka 15 ya utabiri wake na mtabiri akiwa katangulia mbele za haki. Sheh Yahya alifariki mwaka 2011. Mungu ampe raha ya milele na amnusuru na adhabu ya kaburini.
Kwa nini. Hiyo iliandikwa miaka minne iliyopita una taka nikutafutie linki tena leo kwa Faisal gani? Ungefanya hivyo siku nilipoileta lakini siyo baada ya miaka min nne. Siwezi kupoteza muda wangu kukutafutia habari za zamani bila kuwa na matumizi ya maana nazo.Mkuu unaweza kutupa link ya article tukasome?
Nimesoma hii article pale kwenya magazeti ya Shigongo, ikanishtua kwa vile inaoneka utabiri wake ulikuwa kweli kabisa. je ni coincidence tu au ni kweli alikuwa anajua kupiga mahesabu ya kuona mbele? Najua kuwa aliwahi kutabiri kuwa mtu yeyote atakayechukua formu kumpiga Kikwete mwaka 2010 angekufa ghafla, watu ndani ya CCM ambao walikuwa wameshapanga mkakati wa kumng'oa Kiwkete mwaka 2010 wakaa kimya kabisa.
ALIYEKUWA Mtabiri maarufu Afrika Mashariki, Shehe Yahya Hussein aliitisha mkutano wa wahariri na waandishi wa habari mwaka 2006 na kuzungumzia utawala wa Rais Jakaya Kikwete ukiwa na umri wa mwaka mmoja tu.
Baada ya kuzungumza hayo nilipata nafasi ya kumuuliza. Je Tanzania baada ya Kikwete inaweza kupata rais mwanamke?
Shehe Yahya alinijibu:
“Baada ya vipindi viwili vya Rais Kikwete atakuja rais ambaye ni mweusi mchapa kazi lakini mchekeshaji sana, hata hivyo atatawaka kwa kipindi kifupi tu hapo ndipo Tanzania itapata rais mwanamke.”
Wahariri na waandishi waliguna kuonesha kutokubaliana naye wakiwemo wahariri wakongwe Hemedi Kimwaga, Yasini Sadiki, Magnus Mahenge na wengine ambao siwezi kuwakumbuka.
Shehe Yahya baada ya kuona tunambishia alichukua ubao kama ule wa darasani na mkononi alishika kutabu kilichoandikwa Astrology: Monthly numerology, akaanza kufanya hesabu kwa fomula anazojua yeye na akatuambia kwamba kwa Jakaya inaonesha atamaliza muda wake wa miaka kumi na lakini ajaye ataongoza kwa kipindi kifupi.
Tulimuuliza ataongoza kwa muda mfupi kwa sababu gani, alisema hayo mengine yeye hawezi kujua lakini akasisitiza kwamba hivyo ndivyo itakavyokuwa. Tulitawanyika pale kila mmoja akiwa anaona kama amepigwa ‘changa la macho’.
Lakini sasa nimeng’amua kwamba kumbe alikuwa akimtabiria mama Samia bila yeye mama kujua tulichokuwa tunafanya.
HAKIKA SHEHE YAHYA ALIKUWA MNAJIMU WA KWELI.
Kumbuka haya yanatokea baada ya miaka 15 ya utabiri wake na mtabiri akiwa katangulia mbele za haki. Sheh Yahya alifariki mwaka 2011. Mungu ampe raha ya milele na amnusuru na adhabu ya kaburini.
Haya; nimeipata link yenewe ni hiyo. Nadhani itakusaidia kuelea vizuri kuliko nukuu niliyokuwa nimeletaMkuu unaweza kutupa link ya article tukasome?
Nilikopi yaliyoandikwa hapaKwa hiyo ujumbe mkuu hapa ni upi labda?
Hiyo sio stori ya kutunga. Waliokuwepo wakati huo walisikia na wanashuhudia.Weka video kwa ushahidi wa usemacho
Chadema ilizingua sana 2015,raia walijutoa sana, mbowe akaleta ufala.Wakuu nimepita sehemu nikaikuta hii meme ambayo ilitengenezwa na Wataalam iki mnukuu aliyekuwa mtabiri na msoma nyota mashuhuri Afrika Mashariki na kati marehemu Sheikh Yahya Hussein, vipi huyu marehemu alikuwa anaona mbele zaidi?
Alichokitabiri kwa asilimia kubwa kimetimia, vipi mwaka wa uchaguzi 2025,Vyama vikuu vya upinzani ACT WAZALENDO na CHADEMA, Vitaigeuza CCM kuwa chama cha upinzani?
View attachment 3009639
Ipo video nadhani kama sio Audio alipokuwa anayatamka hayo mautabiri yake. Ni kweli ilikuwa mwaka 2006. Internet ilikuwepo ila social network ukiacha Facebook, Myspace, hakukuwa na zingine za maana nazo hazikuwa hazijawa social media bado kama za sasa.Natamani mabadiliko yapatikane lakini pia sioni wa kubadili huko upinzani au kama vipi tubeti tu, tuwajaribu na wao.
Kuhusu hiyo meme, hakuna ushahidi kuwa alisema sheikh yahaya, hilo moja pili hata kama kasema siamini mpaka itokee
Nilikuwekea link lakini sijaona acknowldgement yoyote kutoka kwako; unaweza kuthibitisha kuwa link inafanya kazi na hiyo quote niliyoripoti hapo juu ni sahihi kulingana na ilivyoandikwa kwenye link hiyo?Mkuu unaweza kutupa link ya article tukasome?
Siku hizi hawapo! Wamebaki akina mwafposaKuna mhariri kipindi akiwa kijana alikutana nae msikitini baada ya kumaliza kuswali.Alimwambia ampe mkono wake aungalie,anasema alimwambia atasafiri nchi nyingi duniani na kweli ikawa vile kama alivyotabiri.Hawa wanatabiri sijui wanatumia namba au majini I don't know lakini vitu vyao vingi huwa vya kweli