Utabiri wa Yahya upo mbioni kutimia?

Utabiri wa Yahya upo mbioni kutimia?

Events zinaonesha
bado mama hajamalizia miaka yake 5 mingine! Akimaliza hiyo, 2030 ndio upinzani watakua na nguvu.

maana hata sahizi upinzani bado wapo na changamoto zao zinazowakwamisha kuwa washindani next year
 
Nilikwenda kwenye maziko yake.
Nakumbuka kama vile tulikuwa tunazika katika giza.
Nimemsikia Sheikh Yahya anaongea katika TV siku moja kwamba
"Kama hakuna vituko usitabiri."
Yaani anabisha kwamba kuna ulazima wa kusema,"Mwaka kesho, utakuwa mwaka wa kheri na fanaka."
Kama itakuwepo kheri na fanaka,basi,just shut up,usitabiri
 
Hii ya Balali vipi?
IMG_20250122_144352.jpg
 
Back
Top Bottom