Si ndio magoli yote ya Yanga marefa huwa wanapiga wao golini.Kwa vituko alivyovifanya Refa wa mechi ya Namungo na Yanga. Tayari nimebaini kuwa Matokeo ya nani ashinde huwa ni maamuzi ya Refarii. Hivyo hata hiki ulichokiandika inawezekana ikawa kweli au kikakaribiana na ukweli.
Utakuja kugegedwa makalio boya wewe!Kwa muelekeo ninaouna
β Mechi zote alizoshinda Yanga, Simba anakwenda kushinda kwa magoli mengi...
β Mechi zote alizotoa sare Simba, Yanga wanakwenda kupigwa wakiambulia zaidi ni sare kama ya Namungo...
β Mechi zote Simba alizoshinda MOYA BILA ( according to Mwnyi Zahera), Yanga anakwenda kutoa sare au kipigo...
MUDA NI RAFIKI MZURI!
Tena bao la jioniSi ndio magoli yote ya Yanga marefa huwa wanapiga wao golini.
Wejamaaa utakuja kujinyongaSawa...mimi utabiri wangu top 3 msimu huu
1.Yanga
2.Azam
3.Simba
Pamoya n mafigisu bado Simba iko ongoza Ligi!Kwa vituko alivyovifanya Refa wa mechi ya Namungo na Yanga. Tayari nimebaini kuwa Matokeo ya nani ashinde huwa ni maamuzi ya Refarii. Hivyo hata hiki ulichokiandika inawezekana ikawa kweli au kikakaribiana na ukweli.
Nijinyonge Yanga kuwa bingwa!!! you're funny[emoji851]Wejamaaa utakuja kujinyonga
Pale namba zitakapopinduka....πNijinyonge Yanga kuwa bingwa!!! you're funny[emoji851]
Utajinyonga zikipinduka namba za mtoa uzi?Pale namba zitakapopinduka....[emoji16]
Mtoa SindanoUtajinyonga zikipinduka namba za mtoa uzi?
Unajitoa ufahamuMtoa Sindano
unateseka wapi na rafiki yako muda?Kwa muelekeo ninaouna
β Mechi zote alizoshinda Yanga, Simba anakwenda kushinda kwa magoli mengi...
β Mechi zote alizotoa sare Simba, Yanga wanakwenda kupigwa wakiambulia zaidi ni sare kama ya Namungo...
β Mechi zote Simba alizoshinda MOYA BILA ( according to Mwnyi Zahera), Yanga anakwenda kutoa sare au kipigo...
MUDA NI RAFIKI MZURI!
Mkuu ni wakati sasa wa kuchambua mchele, mpira hauweziSometimes historia haijirudiagi
Muda ni rafiki mzuri eeeh!! Ujinyonge sasa.Kwa muelekeo ninaouna
β Mechi zote alizoshinda Yanga, Simba anakwenda kushinda kwa magoli mengi...
β Mechi zote alizotoa sare Simba, Yanga wanakwenda kupigwa wakiambulia zaidi ni sare kama ya Namungo...
β Mechi zote Simba alizoshinda MOYA BILA ( according to Mwnyi Zahera), Yanga anakwenda kutoa sare au kipigo...
MUDA NI RAFIKI MZURI!