Utabiri wangu: Mbowe atashinda uchaguzi na atamtangaza Tundu Lissu kuwa mgombea urais 2025, imeisha hiyo

Utabiri wangu: Mbowe atashinda uchaguzi na atamtangaza Tundu Lissu kuwa mgombea urais 2025, imeisha hiyo

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Mimi nimesoma Political Science, siasa za Tanzania tangu 1992 vuguvugu linaanza la mfumo wa vyama vingi nilikuwa nafatilia.

Nimekuwa nikimsikiliza Mbowe akihubiri amani ndani ya chama, in fact kwa mahela aliyoweka katika kusaidia chama chake ni mengi na hawezi kuachia chama coz hatalipwa mahela anayodai.

Atashinda uchaguzi usiku huu na ili kuvunja makundi na kutembea na slogan yao ya stronger together, atamtangaza kinyume cha utaratibu Lissu kuwa mgombea Urais ili kuwapoza waliokasirika, Heche na Lema watarudi kamati kuu. Period

All in all CCM chama dume, dume la Mbegu, haimhofii mwanasiasa yoyote yule nchi hii, yuko wap Slaa.
 
Mimi nimesoma Political Science, siasa za Tanzania tangu 1992 vuguvugu linaanza la mfumo wa vyama vingi nilikuwa nafatilia.

Nimekuwa nikimsikiliza Mbowe akihubiri amani ndani ya chama, in fact kwa mahela aliyoweka katika kusaidia chama chake ni mengi na hawezi kuachia chama coz hatalipwa mahela anayodai.

Atashinda uchaguzi usiku huu na ili kuvunja makundi na kutembea na slogan yao ya stronger together, atamtangaza kinyume cha utaratibu Lissu kuwa mgombea urais ili kuwapoza waliokasirika, Heche na Lema watarudi kamati kuu.Period

All in all CCM chama dume, dume la Mbegu, haimhofii mwanasiasa yoyote yule nchi hii, yuko wap Slaa.
Lissu anaungwa mkono na wapiga Kura wa ONLINE ila Mbowe anaungwa mkono na wapiga kura waliopo field Mlimani City.
 
Hilo sidhani, nadhani watasubiria wakutoka upande wa pili, na huenda ndio mpango mzima wa mwamba
 
Ni ngumu mnoo, uchaguzi Huu ni Ama LISSU ashinde aisuke Upya CHADEMA.

Au Mbowe ashinde abakie na Chawa wake.
 
Mimi nimesoma Political Science, siasa za Tanzania tangu 1992 vuguvugu linaanza la mfumo wa vyama vingi nilikuwa nafatilia.

Nimekuwa nikimsikiliza Mbowe akihubiri amani ndani ya chama, in fact kwa mahela aliyoweka katika kusaidia chama chake ni mengi na hawezi kuachia chama coz hatalipwa mahela anayodai.

Atashinda uchaguzi usiku huu na ili kuvunja makundi na kutembea na slogan yao ya stronger together, atamtangaza kinyume cha utaratibu Lissu kuwa mgombea Urais ili kuwapoza waliokasirika, Heche na Lema watarudi kamati kuu. Period

All in all CCM chama dume, dume la Mbegu, haimhofii mwanasiasa yoyote yule nchi hii, yuko wap Slaa.
kumbe?
 
Mimi nimesoma Political Science, siasa za Tanzania tangu 1992 vuguvugu linaanza la mfumo wa vyama vingi nilikuwa nafatilia.

Nimekuwa nikimsikiliza Mbowe akihubiri amani ndani ya chama, in fact kwa mahela aliyoweka katika kusaidia chama chake ni mengi na hawezi kuachia chama coz hatalipwa mahela anayodai.

Atashinda uchaguzi usiku huu na ili kuvunja makundi na kutembea na slogan yao ya stronger together, atamtangaza kinyume cha utaratibu Lissu kuwa mgombea Urais ili kuwapoza waliokasirika, Heche na Lema watarudi kamati kuu. Period

All in all CCM chama dume, dume la Mbegu, haimhofii mwanasiasa yoyote yule nchi hii, yuko wap Slaa.
Wakati wa TAA na Afrosh Party hawa wajumbe kesho wangepigwa million 20 na kujiunga CCM kwa kosa la

1. Kuvaa tsheti Nyekundu

2. Kuoa maendeleo ya nchi Flyover, SGR na Kiwanja cha ndege, Barbara Njia 10

Zamani waliunda TANU safari hii wajiunge tuu CCM
 
Mimi nimesoma Political Science, siasa za Tanzania tangu 1992 vuguvugu linaanza la mfumo wa vyama vingi nilikuwa nafatilia.

Nimekuwa nikimsikiliza Mbowe akihubiri amani ndani ya chama, in fact kwa mahela aliyoweka katika kusaidia chama chake ni mengi na hawezi kuachia chama coz hatalipwa mahela anayodai.

Atashinda uchaguzi usiku huu na ili kuvunja makundi na kutembea na slogan yao ya stronger together, atamtangaza kinyume cha utaratibu Lissu kuwa mgombea Urais ili kuwapoza waliokasirika, Heche na Lema watarudi kamati kuu. Period

All in all CCM chama dume, dume la Mbegu, haimhofii mwanasiasa yoyote yule nchi hii, yuko wap Slaa.
Ushindi wa MBOWE ni ushindi wa CCM. Ushindi wa CCM ndani ya CHADEMA ni aibu kwa taifa
 
Kumbe Mbowe kaweka hela zake kwenye chama chake cha Chadema!!
Mgao wanaoupata toka serikalini huwa unaenda wapi??
 
Lissu keshaerevuka vya kutosha kujua kuwa kwa katiba hii na sheria hizi za uchaguzi ni kupoteza muda kugombea urais
 
Mimi nimesoma Political Science, siasa za Tanzania tangu 1992 vuguvugu linaanza la mfumo wa vyama vingi nilikuwa nafatilia.

Nimekuwa nikimsikiliza Mbowe akihubiri amani ndani ya chama, in fact kwa mahela aliyoweka katika kusaidia chama chake ni mengi na hawezi kuachia chama coz hatalipwa mahela anayodai.

Atashinda uchaguzi usiku huu na ili kuvunja makundi na kutembea na slogan yao ya stronger together, atamtangaza kinyume cha utaratibu Lissu kuwa mgombea Urais ili kuwapoza waliokasirika, Heche na Lema watarudi kamati kuu. Period

All in all CCM chama dume, dume la Mbegu, haimhofii mwanasiasa yoyote yule nchi hii, yuko wap Slaa.
Kama ccm chama dume inakuaje mwenyekiti wake ni wa KIKE?
 
Back
Top Bottom