Utabiri wangu: Mbowe atashinda uchaguzi na atamtangaza Tundu Lissu kuwa mgombea urais 2025, imeisha hiyo

Na sisi ambao kazi yetu sio wanachama ila sie ni kupiga kura tu kwenye chaguzi tunamtaka lisuuu

Sawa akichaguliwa kwenye kuwania urais tutampigia kura mkuu ila chamani sisi siyo wajumbe hivyo maoni yetu hayataathiri kura za mwenyekiti wa CDM.
 
YOUR WISHES
 
Sultan Mbowe Bin King'ang'anizi macho yake yamejaa hofu lips zinatetemeka kagonga konyagi ila uoga uko palepale
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…