Ceo anaambiwa atoe hela mechi ichezwe nje ya uwanja hataki na haamini kwenye hizi mambo ona sasa tunavyodhalilikaYanga wachawi kisenge okwa anakosaje goli lile mauza uza tu kwanza hata mlango walioingilia unaonyesha waliroga washenzi hawa.
Hela za kuwasha moto kule South Africa ni nani alitoa?Ceo anaambiwa atoe ela mechi ichezwe nje ya uwanja hataki na haamini kwenye izi mambo ona sasa tunavyodhalilika
Hela za kuwasha moto kule south afrika ni nani alitoa?
[emoji1787]Ikitokea kama alivyosema mleta mada mniite mbwa nimekaa palw
HatariiMagoli yamefungwa dk 16,50,81 yaani mulemule ilivotabiriwa
Njoo ucheke tena kaka.
Mbwa njoo.Ikitokea kama alivyosema mleta mada mniite mbwa nimekaa palw
Tupe matokeowazee wa mikeka mkimfata huyu mtu mmeumia,mnapigwa na muhindi mchakae.
iyo mechi Uto atapigwa na Simba 3-1 Uto.
Ikitokea kama alivyosema mleta mada mniite mbwa nimekaa palw
Wewe jamaa ni mpumbavu maana hutaki kuukubali ukweli.Yanga wachawi kisenge okwa anakosaje goli lile mauza uza tu kwanza hata mlango walioingilia unaonyesha waliroga washenzi hawa.
Wewe kweli ni mjingaKwa ule mpira mliocheza na vipers .kwa Simba mtakula 3+
Umbwa wewe🤣🤣🤣Ikitokea kama alivyosema mleta mada mniite mbwa nimekaa palw
Hata ile mechi ya AZAM sports alikataa pia ndo maana utopolo wanaifanya Simba vibonde nowadaysCeo anaambiwa atoe ela mechi ichezwe nje ya uwanja hataki na haamini kwenye izi mambo ona sasa tunavyodhalilika
Ukweli wa yanga kuiroga simba au mi yanga nilikuja kujua wana dunia yao kwenye kuroga kipindi kile cha mwinyi zahera simba iko on fire kwenye league na kimataifa ila wakija kucheza na utopolo wanaangukia pua.Wewe jamaa ni mpumbavu maana hutaki kuukubali ukweli.
Mayele si ndo msekule wa mechi za derby kama ilivyokuwa kwa Kichuya alivyokuwa SimbaMayele naye anakosaje lile
FT ngapi ngapi mkuu?
Yanga 🐸 2 - Simba 🐏 1
🐸 dakika ya 19
🐏 dakika ya 52
🐸 dakika ya 81
(Majina ya wafungaji nitaweka siku ya mechi baada line up kutoka)
Picha inachekesha hii. Hapa kama alikua arrestedWee jamaa nmekunyooshea mikono[emoji16]View attachment 2323310