Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

Naaangalia mechi ya Yanga na Mbao,ni vituko vitupu. Yanga inaingia mara 3 kwa Namungo. sijui jeuri ya kupambana na Mnyama wanatoa wapi
Lakini Lissu ni mwananchi...hao Namungo wakicheza na Zesco au Pyramids wanaweza kufungwa magoli hata kumi, mpira wa Kibongo kukamiana tu
 
Huyu mshana Hapa kafanya kitu inaitwa

Ushabiki wewe Sema upo Simba ndo Maana una Tabiri hivi Mpira ni Dakika 90 Hata ile mechi ya january4 nayo yalikuwa Kama haya haya lakin mwisho wa siku ikaja Droo so, Mpira hautabiriki Brother, huu Uzi umekosea Kabixa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mahaba na 5imba ndio yamefanya aanzishe huu uzi.

Derby hazitabirikagi kirahisi namna hii. Hapa Mganga kaingia chaka.
 
Nimechungulia anga la SIMBA kuna ung'avu mkubwa na nyota nne zinawaka kuzunguka kichwa cha mnyama SIMBA akiwa kakanyaga zulia jekundu na kuzingirwa na mataa yanayomeremeta, mekundu. Kwa upande wa YANGA kuna utusitusi na hali ya kufifia.

Huku vitu kama nyota vikiwa vimepoteza nuru. Kuna nyota mbili zinawaka na kufiifia kama umeme wa single phase wenye load iliyozidiwa pembezoni na chini kuna rangi ya khaki kama njano na ni kavu kama jangwani.

Chochote anachotaka kukifanya YANGA kwenye hiyo ndoto kinapata msaada na mwanga toka upande wa SIMBA.

Tafsiri yake ni ninini?
  • SIMBA atatawala mchezo mwanzo mwisho kasoro dakika chache tu za mwisho.
  • SIMBA itatoka kifua mbele kwa kulipenya lango la YANGA mara NNE.
  • Yanga watabahatika kupata kifuta machozi cha bao mbili au moja. Kama nia mbili, kila kipindi kitapata moja.
Kama huamini utabiri huu au unabisha njoo na wako lakini usiwe wa kufoji. Ama kaa tulia tusubiri kipenga cha mwisho tarehe hiyo ya 8.3.2020.

Jr[emoji769]
Mshana sasa umekua mpiga ramli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji109][emoji109][emoji109]
Ebwana hatari faya Mshana Jr mimi nakukubali najua lazima Yanga tukawaoe tarehe 8 kwa mahari uliyoitaja

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom