Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #281
Dah wana wananishukia kama mwewe... [emoji23][emoji23][emoji23]
Jr[emoji769]
Joo vp mbona unachukulia serious?
Mambo mengine chukulia kirahisi. Hata wewe ungeweza kuandika kwamba umeoteshwa Yanga/Simba ataua bao 10.
Na kama kna mtu angekutukana basi ni mpumbavu.
Jr[emoji769]