Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

Utabiri wangu mechi ya Simba na Yanga, tarehe 8 Machi

Kwenye fani ya utabiri ndugu yangu mshana umepata zero tena lenye masikio kabisa. Kuna baadhi ya fani muwaachie kina Sheikh Shariff Majini
 
[emoji23][emoji23][emoji23]hizo zote za nyuma nilizopatia zimeshasahaulika mara...!
Kwenye fani ya utabiri ndugu yangu mshana umepata zero tena lenye masikio kabisa. Kuna baadhi ya fani muwaachie kina Sheikh Shariff Majini

Jr[emoji769]
 
Nimechungulia anga la SIMBA kuna ung'avu mkubwa na nyota nne zinawaka kuzunguka kichwa cha mnyama SIMBA akiwa kakanyaga zulia jekundu na kuzingirwa na mataa yanayomeremeta, mekundu. Kwa upande wa YANGA kuna utusitusi na hali ya kufifia.

Huku vitu kama nyota vikiwa vimepoteza nuru. Kuna nyota mbili zinawaka na kufiifia kama umeme wa single phase wenye load iliyozidiwa pembezoni na chini kuna rangi ya khaki kama njano na ni kavu kama jangwani.

Chochote anachotaka kukifanya YANGA kwenye hiyo ndoto kinapata msaada na mwanga toka upande wa SIMBA.

Tafsiri yake ni ninini?
  • SIMBA atatawala mchezo mwanzo mwisho kasoro dakika chache tu za mwisho.
  • SIMBA itatoka kifua mbele kwa kulipenya lango la YANGA mara NNE.
  • Yanga watabahatika kupata kifuta machozi cha bao mbili au moja. Kama nia mbili, kila kipindi kitapata moja.
Kama huamini utabiri huu au unabisha njoo na wako lakini usiwe wa kufoji. Ama kaa tulia tusubiri kipenga cha mwisho tarehe hiyo ya 8.3.2020.

Jr[emoji769]
Mkeka umechanika muindi kashakukula

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji24][emoji24][emoji24]
Mkeka umechanika muindi kashakukula

Sent using Jamii Forums mobile app
.
IMG-20200309-WA0011.jpeg


Jr[emoji769]
 
Toeni nyongo mpate nafuu ndani ya vifua vyenyu..
IMG-20200309-WA0010.jpeg
IMG-20200309-WA0009.jpeg
IMG-20200309-WA0008.jpeg


Jr[emoji769]
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji36][emoji36][emoji36][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nawaona walivyokusonya jana baada ya kile kichapo. [emoji23][emoji23]

Mana uliwaaminisha kwa herufi kubwa.

Jr[emoji769]
 
Utabir wangu clear japo first yellow card hakupata kasi Kama nilisema nimecheza na muda na wakati maji yanaporudi saa kumi na moja na gol likapatikana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mkuu mshana tugonge cheers

kilicho akilini kitumie
Na hili ndio tukio kubwa Sana nilitabiri litatokea
IMG-20200308-WA0092.jpeg


kilicho akilini kitumie
 
Mosi, huyo Senzo kama hashirikishi benchi la ufundi la Utamaduni hatakuja kuifunga Yanga katika kipindi Chake Chote.
Pili, Yanga you aliizidi Simba Kwa hamasa ya Uchezaji.
Nadhani Ile ahadi ya kuwapatia pesa milioni 200 wakishinda kiliongeza kiwango cha Morale kwa wachezaji wa Yanga.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimechungulia anga la SIMBA kuna ung'avu mkubwa na nyota nne zinawaka kuzunguka kichwa cha mnyama SIMBA akiwa kakanyaga zulia jekundu na kuzingirwa na mataa yanayomeremeta, mekundu. Kwa upande wa YANGA kuna utusitusi na hali ya kufifia.

Huku vitu kama nyota vikiwa vimepoteza nuru. Kuna nyota mbili zinawaka na kufiifia kama umeme wa single phase wenye load iliyozidiwa pembezoni na chini kuna rangi ya khaki kama njano na ni kavu kama jangwani.

Chochote anachotaka kukifanya YANGA kwenye hiyo ndoto kinapata msaada na mwanga toka upande wa SIMBA.

Tafsiri yake ni ninini?
  • SIMBA atatawala mchezo mwanzo mwisho kasoro dakika chache tu za mwisho.
  • SIMBA itatoka kifua mbele kwa kulipenya lango la YANGA mara NNE.
  • Yanga watabahatika kupata kifuta machozi cha bao mbili au moja. Kama nia mbili, kila kipindi kitapata moja.
Kama huamini utabiri huu au unabisha njoo na wako lakini usiwe wa kufoji. Ama kaa tulia tusubiri kipenga cha mwisho tarehe hiyo ya 8.3.2020.

Jr[emoji769]

Mkuu nimekurudia tena baada ya kuweka akiba ya maneno yangu kwenye post yako hii. Vipi Mwenyekiti? Anga lilikudanganya? Hebu tupe maelezo ... najua huyakosi.
 
Ndio kama hivyo.. Usidhani nao walibweteka
Mkuu nimekurudia tena baada ya kuweka akiba ya maneno yangu kwenye post yako hii. Vipi Mwenyekiti? Anga lilikudanganya? Hebu tupe maelezo ... najua huyakosi.

Jr[emoji769]
 
Back
Top Bottom