Hakutakuwa na mtifuano kama 2015. Mafisadi waliokuwa wanataka kutupatia rais wapo chali na mitandao imezikwa rasmi Magufuli aliposhinda!2025 mtifuano utakua mkubwa sana na wa aina yake, suluhisho itakua kwa mwanamke! Na Atashinda!
Hatujui siku saa wala dakika, hatuwezi kimbia muda wetu ukishafikaMagufuli mpaka 2050! Kama hulijui.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mipango hii muliianza mapema Sana,Magufuli mpaka 2050! Kama hulijui.
Kumbe @stroke na hii pia ni ID yako duh.Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!
Ndio maana wali lawiti uchaguzi mkuu wa twenetwene..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mipango hii muliianza mapema Sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini habari yao imeisha , washafukiaNdio maana wali lawiti uchaguzi mkuu wa twenetwene..
Kwanza walimchelewesha sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mipango hii muliianza mapema Sana,
Sent using Jamii Forums mobile app
ata waziri mkuu ni mwanamke# TANZANIA MPYANaona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!
Uliotea japo wakati mwingine unaongea pumba Sana.Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!
Hapa umejifunulia 😃😃ata waziri mkuu ni mwanamke# TANZANIA MPYA
Bado una msimamo wako huu?Magufuli mpaka 2050! Kama hulijui.
Lakini bado 2025 haijafika mkuu, na lolote linaweza kutokea hapo katikati, historia imetufunzaMambo ya Mungu ya ajabu sana
Alinufunulia 2016.
Duuh.