Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Ndoto za mchana wa jua kali, ungejua namna miradi iliyoachwa na marehemu JPM inavyoendelea kukamilika mmoja baada ya mwingine usingekuja na mawazo kama haya.Damu itamwagwa na huyo anaye ng'ang'ania uongozi kwa sababu lazima atatumia mbinu chafu kuendelea kukaa madarakani ..tumia akili sisi tunaona mbali sana hadi kufika 2024, sa100 hatakuwa kachokwa na uchumi wa nchi utakuwa umekufa kabisa ila sijui kama yeye mwenyewe atakuwa na moyo wa kutaka madaraka kinyume na watz
Mbona nyinyi pimbi .. jpm mlikuwa mnamwita majina machafu au unadhani tumesahauMkuu kwanini upende kutumia maneno makari kwa mtu unayehisi katofautiana kimtazamo na wewe?? hata Mimi nilikuwa na haiba Kama yako lakini baada ya kuona jf Ina watu wasitaarabu nakila nilipojaribu kuwa na tabia za ajabu wanajf walinikanya, mwisho wa siku nimeacha kabisa kutumia maneno ya kukela, jf imenifunza kuwa mtu mvumilivu na mwenye kuheshimu watu wote ninaohisi siko nao pamoja kimtazamo.
Heshimu mawazo ya watu , badilika Mkuu!!! [emoji120][emoji120][emoji120]
Hiyo miradi hata ikikamilika watapewa mabeberuNdoto za mchana wa jua kali, ungejua namna miradi iliyoachwa na marehemu JPM inavyoendelea kukamilika mmoja baada ya mwingine usingekuja na mawazo kama haya.
Umenena, haitotokea.Wewe some time ni zuzu kwelikweli .....hicho kitu ni impossible...samia ndiye rais wa mwisho mzanzibar kuja kuwa rais wa muungano baada ya samia hakuna zanzibar atakaye kuwa Rais hadi muungano utakapo vunjika
Naona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!
Mkuu sijawahi kuwakosea adabu viongozi wa Chama na serikali,ungesema mbowe na lissu ningekuelewaMbona nyinyi pimbi .. jpm mlikuwa mnamwita majina machafu au unadhani tumesahau
Aisee!Nyie mchongeeni tu kwa Mungu, na Mungu hajaribiwi shauri yenu na kufuru zenu hizo.
JamaniNyie mchongeeni tu kwa Mungu, na Mungu hajaribiwi shauri yenu na kufuru zenu hizo.
Nakukumbuka sana mkuu!Mkuu kwanini upende kutumia maneno makari kwa mtu unayehisi katofautiana kimtazamo na wewe?? hata Mimi nilikuwa na haiba Kama yako lakini baada ya kuona jf Ina watu wasitaarabu nakila nilipojaribu kuwa na tabia za ajabu wanajf walinikanya, mwisho wa siku nimeacha kabisa kutumia maneno ya kukela, jf imenifunza kuwa mtu mvumilivu na mwenye kuheshimu watu wote ninaohisi siko nao pamoja kimtazamo.
Heshimu mawazo ya watu , badilika Mkuu!!! [emoji120][emoji120][emoji120]
Hili suala halina mpinzani hakuna Rais mwingine zaidi ya Rais Samia SuluhuNaona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!
Mbona Rais Samia Suluhu yeye ndo kashika nchi na mme wake hajawai kuingilia acheni mawazo mgando wananwake wana haki ya kuongoza kama wanaume tena mwanaume ni zaidi ya mwanaumePia kwa nchi zetu za ki-Afrika, mkitaka kuchagua rais mwanamke, angalieni ameolewa na nani. Maana huyo mmewe ndiye atakayekuwa rais wenu wa nyuma ya pazia.
Tatizo watu wanaongea kwa mihemko tu hawafatiilii mambo Rais Samia Suluhu amekamilisha miradi ndani ya siku 523 na bado anaendelea kuleta maendeleoNdoto za mchana wa jua kali, ungejua namna miradi iliyoachwa na marehemu JPM inavyoendelea kukamilika mmoja baada ya mwingine usingekuja na mawazo kama haya.
Shukrani hatuna watu weusi siku zote.Tatizo watu wanaongea kwa mihemko tu hawafatiilii mambo Rais Samia Suluhu amekamilisha miradi ndani ya siku 523 na bado anaendelea kuleta maendeleo
Usimjibu huyu P! Achana naye as long as wengi tunakuelewaKiukweli humu kuna watu mna midomo michafu!, mwanzo umenitukana zuzu mara moja tuu, I begged you, mimi sio zuzu na sipendi kuitwa zuzu!, tena nikakusisitiza heshima kitu cha bure!, badala ya heshima, sasa ndio umefungulia!, zuzu 7 ndani ya para 1!.
Naomba itoshe, mimi ni zuzu!.
Ubarikiwe na uwe na siku njema.
P
Sauti iliayo nyikani inakataa labda kwa mabavu ya wanufaika siohao wanaoishi mazingira wasiyoyaweza walioko kileleniNaona kuna dalili zoote kuwa Rais wetu ajaye baada ya huyu wa sasa kuwa mwanamke!
Naomba hili liwe reference kwa 2025!
π π π πMagufuli mpaka 2050! Kama hulijui.
Bila shaka ww una ladha ya ukakasiJamii fournm inapoteza ladhaa
Kumbe wewe ndiyo wale mnao amini kuwa mtu mpumbavu akiwa rais upumbavu unaondoka [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji117][emoji90][emoji90]Mkuu sijawahi kuwakosea adabu viongozi wa Chama na serikali,ungesema mbowe na lissu ningekuelewa
yatatimiaaa????2024......