Utabiri wangu: Yanga watashinda kwa mgoli 2 dhidi ya CR Belouizdad na yote yatafungwa na Mzize


Mkuu Lakini Mechi Uliyo Tabiri bado Haijachezwa Ukitabiri Yanga Vs CRB leo ni CRB Vs Yanga
 
Sisi tulikuangalia tukaona hujui chochote kuhusu mpira tukakuacha ujilimbwase na hope za kufikirika.

Uzuri haukubeti ila utakuwa uliwaponza wafuasi wako waliojenga imani zao kwako wakiamini unachokitabiri kinakuwa.

Biashara na hisia haviendi sawa ona sasa umekuwa sababu ya familia zingine kushinda njaa kutokana na tabiri yako ya kizushi.

Na nyie mkome muwe mnaangalia na timu za kubetia
 
Mtakumbuka medali za shirikisho muda siyo mrefu.
Yanga imechukua miaka 25 kuingia makundi ya champion league. Usifikirie rahisi km unavyofikiri
Bado Al Ahly wanakuja
 
Nimefuata utabiri wako lakini umenichania mkeka😁😁
 
Zingatia hii
 
Maskini hii ndoto uliota mchana au usiku[emoji23]
 
Utabiri unauweza shida mizimu iko kwenye mgomo baridi kwa kuilisha supu ya kibudu. Unatakiwa utoe kafara ya konokono watatu wenye antenna tatu kila mmoja na wawe wenye rangi ya kijani mkiani na njano tumboni kuiangukia mizimu ili karama yako ya unajimu irudi.
 
Utabiri feki huu....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…