Utachukua hatua gani ukikutana na mtoto kwenye barabara isiyo na watu kama hivi?

Utachukua hatua gani ukikutana na mtoto kwenye barabara isiyo na watu kama hivi?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Utachukua hatua gani hili likikutokea?


 
Kama unatembea na mguu wa kuku unaweza kuendelea kusikilizia mtoto atoke barabarani ili uendelee na safari yako.

Kama kwenye gari huna hata panga ni ya heri ugeuze tu.

Mpaka huyo mtoto yupo hapo ina maana wazazi wake wapo karibu na hapo.

Ila ubaya sikuhizi wahuni ni wengi na huwezi jua nani mwema au mwovu.

Kimsingi siwezi thubutu kushuka ndani ya gari maana nitaona kama mtego nasubiriwa nijae wahuni watoke msituni kufanya ambush.
 
Tofautisha kati ya mtoto wa tajiri na mtoto wa maskini.
Mtoto wa tajiri hahitaji msaada.
 
Miaka kadhaa nyuma, maeneo ya daraja la salenda, kuna mtu alitoa mkono wake kwenye gari kuwapa wale omba omba hela, mara mkono wake ukaota manyoya....

Ilikuwa gumzo Dar ila sikufanikiwa kuona picha wala mhusika kuhojiwa.

Nimekumbuka safari za kikazi kuelekea field na magari ya mradi aka mikonge aka Toyota land cruiser manual....

Nimemiss ule mlio wake.... raha sana.
 
Miaka kadhaa nyuma, maeneo ya daraja la salenda, kuna mtu alitoa mkono wake kwenye gari kuwapa wale omba omba hela, mara mkono wake ukaota manyoya....

Ilikuwa gumzo Dar ila sikufanikiwa kuona picha wala mhusika kuhojiwa.

Nimekumbuka safari za kikazi kuelekea field na magari ya mradi aka mikonge aka Toyota land cruiser manual....

Nimemiss ule mlio wake.... raha sana.
I remember,ni mwka 2004/5
 
Haina neno so long ni kiumbe nisiyemtilia shaka nakwenda naye tu
Wee bwana Sio rahisi kivile mkuu. Kumhifadhi mtoto maana yake - ale, alale, akiugua umpeleke hospitali i.e Mustakabali mzima wa maisha yake unaubeba wewe lakini sio kwa hiari yako. Watu (hata kama ni mtoto) wana mambo mengi usiyoyajua bado na pengine huenda ni hatari kubwa kwako na familia yako. Tena uombe asikufie mikononi mwako. Utahangaishwa sana na Polisi, Ustawi wa Jamii, Dini na hata ndugu zako pia watakuhoji sana. Ni gharama ya kujitakia.
 
Una mgonga tu na gari na kuendelea na safari japo sijafungua hiyo Video.😁😃😅😀😆😄
Baadhi ya madereva wenye imani za uwepo wa majini, mapepo, vibwengo wachawi, kama ni usiku wala hawatamkwepa au kusimama bali watamswaga na kuendelea na safari yao kana kwamba hakuna kilichotokea.
 
Miaka kadhaa nyuma, maeneo ya daraja la salenda, kuna mtu alitoa mkono wake kwenye gari kuwapa wale omba omba hela, mara mkono wake ukaota manyoya....

Ilikuwa gumzo Dar ila sikufanikiwa kuona picha wala mhusika kuhojiwa.

Nimekumbuka safari za kikazi kuelekea field na magari ya mradi aka mikonge aka Toyota land cruiser manual....

Nimemiss ule mlio wake.... raha sana.
Wasalimie kimboka hapo huku unaendeleza ndoto zako
 
Nimeona dogo akigeuka nyuma inaonesha wazee hawapo mbali nae. Mimi nasimama na kumtafuta mzee wake hakuna ubaya hapo.
 
Back
Top Bottom