Utachukua uamuzi gani ukigundua watoto uliowalea na kuamini ni wako kumbe sio wako?

Utachukua uamuzi gani ukigundua watoto uliowalea na kuamini ni wako kumbe sio wako?

mchezaji wa zamani wa Chelsea, Real Madrid na timu ya taifa ya Cameroon 🇨🇲 Geremi Njitap, ametangaza kuvunja ndoa yake na mkewe Laure Fotso, ndoa iliyodumu kwa muda wa miaka 12, baada ya kugundua ya kwamba, watoto wawili mapacha (pichani, wa kike katikati na wa kiume kulia), sio watoto wake.

Utachukua maamuzi gani ukigundua watoto uliowalea na kuamini ni wako, kumbe sio wako?
View attachment 2942848
View attachment 2942852
Kipimo kiko accurate 100%? Umeolewa na tajiri bado una cheat!! Bumbav
 
Ukiwa na pesa na ukakosa furaha ni kazi bure. Watoto kukusaidia ukiwa hauna nguvu sio pesa tu kuna mambo mengi
Unauhakika baada ya kuwaacha hao watoto kakosa furaha.

Huwezi kujua anafikiria nini kichwani mwake,sometimes kitendo cha kukubali watoto sio wake na kumove on ni kitendo cha kishujaa.Kwani kuna wengine hapo ungesikia tayari,kisha wapoteza wote na yy kujitoa uhai.

Halafu nani amekuambia ukiwa na watoto watakuja kukusaidia uzeeni ,halafu hawa watoto wenyewe wamelelewa ulaya na ulaya mzee ukizeeka unaenda kutupwa nyumba za wazee. Husikariri unaweza ukawa na watoto na wasiwe na time na ww uzeeni.
 
Unauhakika baada ya kuwaacha hao watoto kakosa furaha.

Huwezi kujua anafikiria nini kichwani mwake,sometimes kitendo cha kukubali watoto sio wake na kumove on ni kitendo cha kishujaa.Kwani kuna wengine hapo ungesikia tayari,kisha wapoteza wote na yy kujitoa uhai.

Halafu nani amekuambia ukiwa na watoto watakuja kukusaidia uzeeni ,halafu hawa watoto wenyewe wamelelewa ulaya na ulaya mzee ukizeeka unaenda kutupwa nyumba za wazee. Husikariri unaweza ukawa na watoto na wasiwe na time na ww uzeeni.
Yah ni kweli ila asilimia kubwa labda watoto wa kiume ila wakike huwa wapo tofauti kidogo
 
Yah ni kweli ila asilimia kubwa labda watoto wa kiume ila wakike huwa wapo tofauti kidogo
Acha kukalili hao wamekulia ulaya,siku hizi hata Afrika vijana kibao hawana time na wazee wao. So tunza hela zako zikulee uzeeni, timiza majukumu yako ya kuwapa mahitaji yao ya msingi watoto wako ila hai-guarantee kwamba watakuthamini uzeeni.
 
Mwanamke anayefanya hivi ni mjinga kupitiliza. Hii inaleta maumivu ya kihisia ya maisha pale mtoto atakapokuja kuambiwa mtu ambaye alikuwa anamchukulia ni baba yake siyo baba yake. Naona madhara yako kwa watoto zaidi kuliko wazazi.
Kabisa aisee,wanawake wanaofanya hivi huwa wanadhani wamemzidi ujanja na kumkomoa mwanaume,lakini kiukweli anakuwa amewakosea na kuwadhulumu watoto wake haki ya kumjua baba yao halisi,haki ya kujua chimbuko na asili yao.Pia kuwajus nfugu xao halisi wa damu.Hii yote inatokana na tamaa na ubinafsi wa wanawake.
 
Delta one,this is Alfa team reporting we ga' stuation here,a man down,a man down you hear me?
 
Hata ukiwaua haibadili hilo ila inaumiza sana.
Lengo ni, tukose wote... Pia iwe fundisho kwa jamii.


Majuzi hapa mtaaan kwetu wazazi walikuwa wanagombaniana mtoto, baba anataka akae na mtoto, mama naye anataka akae na mtoto, ugomvi ukawa mkubwa..... Mtoto tumemzika jana tu, kati yao mzazi mmoja amemuua huyo mtoto kichawi ili wakose wote.
 
Kama wa ndugu yako sawa unaweza kuea sababu damu moja
Teh teh teh teh! Watoto hawana baya,maana hakika wanaita Baba. Ila sasa,mama yao aliekuwa akikuchora miaka yote,mchepukaji,gharama za malezi yao! Yahitaji moyo aise. Vinginevyo, utapata murder case.
Kwanza mpaka jama anaamua kupima DNA, unadhani hakuwa na dalili!
 
mchezaji wa zamani wa Chelsea, Real Madrid na timu ya taifa ya Cameroon 🇨🇲 Geremi Njitap, ametangaza kuvunja ndoa yake na mkewe Laure Fotso, ndoa iliyodumu kwa muda wa miaka 12, baada ya kugundua ya kwamba, watoto wawili mapacha (pichani, wa kike katikati na wa kiume kulia), sio watoto wake.

Utachukua maamuzi gani ukigundua watoto uliowalea na kuamini ni wako, kumbe sio wako?
View attachment 2942848
View attachment 2942852
Hivi hapa bado mali walizochuma watagawana 50/50 50 ?
 
Back
Top Bottom