Zingzingzing
JF-Expert Member
- May 13, 2014
- 735
- 667
Wengie huwa niving'ang'anizi bado ataendelea kumtongoza tu!!
sasa we ungefanyaje na unampenda sana.
Kuna jamaa aliniambia nimkubali ivyo ivyo alafu huko mbeleni nitachagua kubaki na bwana alienikuta nae au nibaki nae yeye kwa kweli nilimshangaa sana sijui anajiamini kitu gani.
Wana MMU umemtokea demu alafu anakupa jbu kama hlo je utaendelea kumkomalia au utafanyaje?
alikuwa anapima uwezo wa moyo wako
Mbona akikuambia ndo ameshakurahisishia kazi, kitu muhimu akusikilize tu
Mpaka unaambiwa hivyo ujue ulishakosea