Utafanya nini ukipewa jibu kama hili wakati unatongoza?

Utafanya nini ukipewa jibu kama hili wakati unatongoza?

Wanaume msidanganyane.... akisema
Tayari nina mpenzi wangu ujue tu HAKUPENDI WALA HUNA NAFASI kwake.
Ukilazimisha kujitia kukomaa sijui mwanaume hashindwi ndio kuwatafuta ubaya watoto wa kike mje na mada mpya hapa.
ACHANA NAE..
ANGALIA MBELE
 
Haya ni majibu ya kawaida labda ukute huyo alie nae amesha muoa.! Ila kama sivyo basi we mwambie tena ningesha shangaa mrembo kama ww mpaka sasa upo single ila nacho amini huyo ulie nae alikua akinituzia nafasi yangu na Muda ushafika.. Wat next hapo nikuonesha ma chejo ya upendo.. hakuna kinacho shindikana kubadilisha akili za hawa dada zetu kazi ndogo sana.

Mmmh Kweli Wewe 1000GB, Tisha..
 
Wanawake wa afrika wana-complications nyingi sana linapokuja suala la mapenzi...
 
Hamnaga mwanamke mgumu, timing yako tu. Hata kutongoza hakupo sasa hivi,
 
Wana MMU umemtokea demu alafu anakupa jbu "tayari nina mpenzi wangu" pale unavyotongoza? kama hlo je utaendelea kumkomalia au utafanyaje?

Hilo ni moja ya majibu ya kawaida kwa akina dada. Kwa upande fulani linasaidia kutanbua kuwa huyo unayemtongoza si mgeni wa mapenzi kukupa njia rahisi ta kumshawishi.
 
kama ana mtu wake bora ukampotezea.kuepusha shari mana watu wengine ni wakora kwa mademu zao.
 
Watu wengine kwa kuandaa mazingira ya kuchunwa na kupangwa mstari bhana! Kha!

Mabinti wa siku hz hayo ni majibu yao standard, ili kesho ukikuta msg za mapenz kwenye simu yake uwe mpole, na kwakua umeng'ang'aniza kupewa lift atakupiga mizinga ya aibu!

Cha kufanya, mabinti kama hao hakuna kufanya discussion hadi kufikia huko kwenye majibu ya kuudhi, unampangia mitego kama ya kwenye draft ama chess, akija kushtuka chochote atakachosema ama kuamua ni 'tu-tu-sa' ama 'chess mate'
You should structure the trap in such a way that she would be celebrating her orgasm before she knows how she got there in the first place!

And as for cementing your relationship, itendee haki papuchi hadi akiondoka njia nzima anasikilizia utamu kama aliyetoka kulamba sukari!

ndugu yangu na hv vbamia tnaweza kwel kuitndea haki papuchi
 
Juzi tu hapa kuna mbaba alinitongoza nikamjibu hivyo kwamba niko engaged, alichosema mmmm!
Wanume sijui mkoje, umeshajibiwa tena jibu la wazi wala sio la kujing'atang'ata lakini uking'anga'nizi sasa lol!
Mpaka unaguna inaelekea ulishindwa kupangua hoja hapo
 
Kabisa hataki usumbufu wa njemba lakini ukikomaa naye basi huwezi jua.



wengine wanakwambia hivyo hili asije akaonekana anajirahisha kwako
inabid usikate tamaa
 
Last edited by a moderator:
Kuna hili jibu nalo, "hata nikikukubalia ntakuwa nakudanganya tu"...


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom