Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #41
Ila huo ubunifu pia umetoka kwenye kiumbe cha asili yani ni sawa ule asali iliyobuniwa kutoka kwenye mali ghafi za asili.
Sio shida kuwa mbunifu kwa sababu ubunifu ni sifa ya mtu aliyoitoa kwa uumbaji.
Ishu ipo kwenye ubunifu wenye nia ovu ya kuharibu.