Utafanyaje ukifanya maandalizi kibao halafu mpenzi asitokee kwenye miadi?

Utafanyaje ukifanya maandalizi kibao halafu mpenzi asitokee kwenye miadi?

Hayo maandalizi utasema unaandaa Olympic!!! Yanini yote hayo? kwani huwa mnaishi vp au ndio mgeni njoo mwenyeji aende supermarket
 
Poa tu napotezea namhanbia tu nimepika na chakula kitaharibika maana cha watu wawili nahajattokea..kuwa gentle man maana inategemea akili huyo binti...so kausha
 
Dah me nilikuaga mpaka nalia kudadeki yani ukuta ulikua unapigwa ngumi za kutosha kama ndo umemzuia asije.. then mazaga yote nayakanyaga kanyaga,,,
 
dah me nilikuaga mpaka nalia kudadeki yani ukuta ulikua unapigwa ngumi za kutosha kama ndo umemzuia asije.. then mazaga yote nayakanyaga kanyaga,,,
Tetehete [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha kabsa akili uliiandaa na ukawa unaimagine jinsi itakavyokuwa
 
Kwanza huyo demu ana nn mpk mhuni nijiandae hivo yeye ndo ajiandae huko kuja kufua,kupika na kugongwa...na abebe nauli kbs mi si mhuni mtamu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Bro hii kitu kama hii imenitokea leo, yani nimejipanga kila kitu amebaki demu tu kutokea arena lakini cha ajabu saa 6 mchana naambiwa leo haiwezekani eti kuna dharula imetokea kaagizwa mahali Kumamake nimempa shit kama zote nimemblock mpaka akili yangu itakapo kaa sawa SIPENDANGI UJINGA.
 
Hyo imenitokea janaa..nmepanga mtt tangia juz kanambia anakuja jpil....nieleweke kwamba kuja kwake yuko safarin na amepanga hapa kwa hyo ni mpangaji mwezangu....kilichonitokea ni kwamba alinisisitiza leo atakuja kwa hyo nikawa na ulr uhakika wa mbususu....nmeenda kuangalia game ya Simba ikawa tumepigwaa...nikaja kweny betpawa napo mikeka yote imechanikaa...yaan kiujumla siku ikawa imeenda vibaya sanaa kwanguu...kubwa ...nikajisemea tu poa,hasira naziamishia kwa mtoto....ile nafika geto namtxt "uko wapi" jibu ndo limeniumiza zaidii...katoa sababu ya kijinga kabxaa...kwamba mvua imenyesha kwa hyo ameshindwa kujaa...kwa asira nlizokuwa nazo nkampiga ban kabxa ......hapa nawaza kutafuta malisho ya mbususu mpyaa.
 
I
Bro hii kitu kama hii imenitokea leo, yani nimejipanga kila kitu amebaki demu tu kutokea arena lakini cha ajabu saa 6 mchana naambiwa leo haiwezekani eti kuna dharula imetokea kaagizwa mahali Kumamake nimempa shit kama zote nimemblock mpaka akili yangu itakapo kaa sawa SIPENDANGI UJINGA.
Inakera kichiz yaan ...afu wenyew wanachukulia kawaida tu
 
Bro hii kitu kama hii imenitokea leo, yani nimejipanga kila kitu amebaki demu tu kutokea arena lakini cha ajabu saa 6 mchana naambiwa leo haiwezekani eti kuna dharula imetokea kaagizwa mahali Kumamake nimempa shit kama zote nimemblock mpaka akili yangu itakapo kaa sawa SI
Bro hii kitu kama hii imenitokea leo, yani nimejipanga kila kitu amebaki demu tu kutokea arena lakini cha ajabu saa 6 mchana naambiwa leo haiwezekani eti kuna dharula imetokea kaagizwa mahali Kumamake nimempa shit kama zote nimemblock mpaka akili yangu itakapo kaa sawa SIPENDANGI UJINGA.
NaMba yake haiishii na 82 kweli ushapigwa demu anaenza na ooh naul ooh kusuka oo nini huyo haji ngooo
 
Back
Top Bottom