Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]kumbe ndivo wanavohangaikaga kwann usiwe msafi siku zote
Kabisa na juice na bila kusahau konyagi ili nimfurahishe punda na kumzoesha.Na juisi zako za supa maketi[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hapo umenena Mkuu. Plan B muhimu kwenye Kesi kama hizi, wala siumizi kichwa namuita mwajuma wangu siku inaisha vizur tu.Kwenye maisha jifunze kuwa na plan B
😀😀😀😀😀😀 nimecheka sanaHayo maandalizi utasema unaandaa Olympic!!! Yanini yote hayo? kwani huwa mnaishi vp au ndio mgeni njoo mwenyeji aende supermarket
Tetehete [emoji23] [emoji23] [emoji23] acha kabsa akili uliiandaa na ukawa unaimagine jinsi itakavyokuwadah me nilikuaga mpaka nalia kudadeki yani ukuta ulikua unapigwa ngumi za kutosha kama ndo umemzuia asije.. then mazaga yote nayakanyaga kanyaga,,,
Ugwadu sasa nani atautoa? mtu alikuwa ameisha kunywa viagra kabisa anangojea jigijigi,wewe unamwambia mambo ya uasfi? kahaaa mpe pole mamii.Angalau unakuwa umefanya usafi..na utalala katika mazingira masafi kwa kipindi fulani .
Inakera kichiz yaan ...afu wenyew wanachukulia kawaida tuBro hii kitu kama hii imenitokea leo, yani nimejipanga kila kitu amebaki demu tu kutokea arena lakini cha ajabu saa 6 mchana naambiwa leo haiwezekani eti kuna dharula imetokea kaagizwa mahali Kumamake nimempa shit kama zote nimemblock mpaka akili yangu itakapo kaa sawa SIPENDANGI UJINGA.
Bro hii kitu kama hii imenitokea leo, yani nimejipanga kila kitu amebaki demu tu kutokea arena lakini cha ajabu saa 6 mchana naambiwa leo haiwezekani eti kuna dharula imetokea kaagizwa mahali Kumamake nimempa shit kama zote nimemblock mpaka akili yangu itakapo kaa sawa SI
NaMba yake haiishii na 82 kweli ushapigwa demu anaenza na ooh naul ooh kusuka oo nini huyo haji ngoooBro hii kitu kama hii imenitokea leo, yani nimejipanga kila kitu amebaki demu tu kutokea arena lakini cha ajabu saa 6 mchana naambiwa leo haiwezekani eti kuna dharula imetokea kaagizwa mahali Kumamake nimempa shit kama zote nimemblock mpaka akili yangu itakapo kaa sawa SIPENDANGI UJINGA.