Mzee Shirimaa
JF-Expert Member
- Sep 12, 2018
- 1,539
- 3,456
Muwage na backup sio kulia lia humu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii naitaga kipigo cha mbwa kachoka! Yani unajianda kama chizi hivi kisha mwanamke anazingua bange dah!habarini za wikend wadau, bila shaka mu wazima na kwa wenye hitilafu kiafya Mwenyezi Mungu awapeni wepesi.
Ipo hivi:
Unamfatilia binti kwa mda mrefu weee halafu mwishowe anakubali mnapanga siku ya kukutana (appointment) unamsihi aje kwako ( yaani gheto)
Tena ni jambazi la kutupa.Demu akishaanza ngonjera z Hela sijui tuma ya kusuka sijui manini huyo hatokei hata iweje, ila yule unamwambia njoo anakuambia nakuja bila kusema nauli huyo hatanii, hawa wanaolalamika nauli kabla ya kuja ni wezi tu na huwa na maneno kibaoo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole mkuuBro hii kitu kama hii imenitokea leo, yani nimejipanga kila kitu amebaki demu tu kutokea arena lakini cha ajabu saa 6 mchana naambiwa leo haiwezekani eti kuna dharula imetokea kaagizwa mahali Kumamake nimempa shit kama zote nimemblock mpaka akili yangu itakapo kaa sawa SIPENDANGI UJINGA.
Backup up ya ukweli Ni sabuni.Muwage na backup sio kulia lia humu
Haha iko available anytimeBackup up ya ukweli Ni sabuni.
Hamjui kuna 'emergence'?Hii naitaga kipigo cha mbwa kachoka! Yani unajianda kama chizi hivi kisha mwanamke anazingua bange dah!
Kwa hiyo mpaka miaka hii bado mnafukuzia demu kwa style hiyo?Habarini za wikend wadau, bila shaka mu wazima na kwa wenye hitilafu kiafya Mwenyezi Mungu awapeni wepesi.
Ipo hivi:
Unamfatilia binti kwa mda mrefu weee halafu mwishowe anakubali mnapanga siku ya kukutana (appointment) unamsihi aje kwako ( yaani gheto) mtoto anakubali anakwambia atakuja wikiend.
Emergence ya Nyokwe?Hamjui kuna emergence?
EmergencyHamjui kuna emergence?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Emergence ya Nyokwe?
Aah sana tuuu![emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unakunywa zako pepsi ya baridii unatulia tu unacheki movie.
Kwahiyo muwe waelewa tu jamani, mambo mengine huwa hatupangi yawe hivyo ila inatokea tu[emoji1787]Aah sana tuuu!