Utafanyaje ukifanya maandalizi kibao halafu mpenzi asitokee kwenye miadi?

Utafanyaje ukifanya maandalizi kibao halafu mpenzi asitokee kwenye miadi?

habarini za wikend wadau, bila shaka mu wazima na kwa wenye hitilafu kiafya Mwenyezi Mungu awapeni wepesi.

Ipo hivi:

Unamfatilia binti kwa mda mrefu weee halafu mwishowe anakubali mnapanga siku ya kukutana (appointment) unamsihi aje kwako ( yaani gheto)
Hii naitaga kipigo cha mbwa kachoka! Yani unajianda kama chizi hivi kisha mwanamke anazingua bange dah!
 
Demu akishaanza ngonjera z Hela sijui tuma ya kusuka sijui manini huyo hatokei hata iweje, ila yule unamwambia njoo anakuambia nakuja bila kusema nauli huyo hatanii, hawa wanaolalamika nauli kabla ya kuja ni wezi tu na huwa na maneno kibaoo
Tena ni jambazi la kutupa.
 
Bro hii kitu kama hii imenitokea leo, yani nimejipanga kila kitu amebaki demu tu kutokea arena lakini cha ajabu saa 6 mchana naambiwa leo haiwezekani eti kuna dharula imetokea kaagizwa mahali Kumamake nimempa shit kama zote nimemblock mpaka akili yangu itakapo kaa sawa SIPENDANGI UJINGA.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole mkuu
 
Nilisha wahi mpanga dem wangu aje geto akanijibu yupo narafki yake wanangalia movie chakushukuru sijawah mgharamia zaidi ya 5k
 
Habarini za wikend wadau, bila shaka mu wazima na kwa wenye hitilafu kiafya Mwenyezi Mungu awapeni wepesi.

Ipo hivi:

Unamfatilia binti kwa mda mrefu weee halafu mwishowe anakubali mnapanga siku ya kukutana (appointment) unamsihi aje kwako ( yaani gheto) mtoto anakubali anakwambia atakuja wikiend.
Kwa hiyo mpaka miaka hii bado mnafukuzia demu kwa style hiyo?
 
Back
Top Bottom