Utafanyaje ukifanya maandalizi kibao halafu mpenzi asitokee kwenye miadi?

Hii naitaga kipigo cha mbwa kachoka! Yani unajianda kama chizi hivi kisha mwanamke anazingua bange dah!
 
Demu akishaanza ngonjera z Hela sijui tuma ya kusuka sijui manini huyo hatokei hata iweje, ila yule unamwambia njoo anakuambia nakuja bila kusema nauli huyo hatanii, hawa wanaolalamika nauli kabla ya kuja ni wezi tu na huwa na maneno kibaoo
Tena ni jambazi la kutupa.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]pole mkuu
 
Nilisha wahi mpanga dem wangu aje geto akanijibu yupo narafki yake wanangalia movie chakushukuru sijawah mgharamia zaidi ya 5k
 
Kwa hiyo mpaka miaka hii bado mnafukuzia demu kwa style hiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…