Na kwenye kupokea nauli musemege kuna dharura ili muamala usitishwe mara moja! Sio unasubiria hela inaingia unaitoa halafu unabadili gea angani!Kwahiyo muwe waelewa tu jamani, mambo mengine huwa hatupangi yawe hivyo ila inatokea tu[emoji1787]
Huu uhuni utanifanyia mara moja tu ila ukiingia kwenye 18 zangu jua utafurahia show😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Unakunywa zako pepsi ya baridii unatulia tu unacheki movie.
Sasa si dharura imetokea baadae, si unajua dharura haina muda jamani[emoji2369]Na kwenye kupokea nauli musemege kuna dharura ili muamala usitishwe mara moja! Sio unasubiria hela inaingia unaitoa halafu unabadili gea angani!
Aaah jamani, kwani tunakomoana au!!Huu uhuni utanifanyia mara moja tu ila ukiingia kwenye 18 zangu jua utafurahia show[emoji23]
Dharura hio itakukuta nawewe siku moja utacheka! Unaitiwa hela halafu unaishia kupigwa free kende.Sasa si dharura imetokea baadae, si unajua dharura haina muda jamani[emoji2369]
Hiyo sasa inakiwa sio dharura ni kusudi, na kwenye mahusiano hatutakiwi kufanyiana makusudi jamani!Dharura hio itakukuta nawewe siku moja utacheka! Unaitiwa hela halafu unaishia kupigwa free kende.
Dharura hairuhusiwi! Ukisema unakuja umaanishe, tena inakuwaga inaboa day 1 tu mtu unaanza dharura zisizo na msingiHiyo sasa inakiwa sio dharura ni kusudi, na kwenye mahusiano hatutakiwi kufanyiana makusudi jamani!
Zinakuwa za msingi, si unajua dharura haipangwi.Dharura hairuhusiwi! Ukisema unakuja umaanishe, tena inakuwaga inaboa day 1 tu mtu unaanza dharura zisizo na msingi
Mrudie Mungu acha uzinziHabarini za wikend wadau, bila shaka mu wazima na kwa wenye hitilafu kiafya Mwenyezi Mungu awapeni wepesi.
Ipo hivi:
Unamfatilia binti kwa mda mrefu weee halafu mwishowe anakubali mnapanga siku ya kukutana (appointment) unamsihi aje kwako ( yaani gheto)
Msingi uwe umekufaZinakuwa za msingi, si unajua dharura haipangwi.
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Msingi uwe umekufa