Juma Peter
Member
- Nov 12, 2015
- 43
- 60
Ntaenda kuishi ikulu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaha mbavu SinaNitajiita Adam,
Nitasubiria Ubavu wangu ugawanywe atokee Hawa/Eva.
Nawaahidi, shetani hawezi kutudanganya tena. Hilo linyoka likija tena tutampasua na kumkimbizia mbali.
Hakutakuwa na uovu tena katika uso wa dunia.
Hahahaha dah umewaza Sana. Ila hofu itakutawala SanaMimi ntaenda kukaa ikulu ili mkirudi mkute ndio raisi wenu
Alafu uzifanyie nn na hamna watuNaenda BOT navuta mpunga wa kutosha narudi kulala nisubiri nao waamke
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Mkuu unatumia viroba au cha arusha tu
Umasikini hajawahi kumuacha mtu salama,kwa mawazo haya viwonder tusahau.
Ntakuwa nakula bange na embassy siku nzima.
Naenda BOT nachukua pesa[emoji385] [emoji385] zote alafu nakimbia[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Sipendagi ujinga
Naanza kupiga cm kuwauliza wako wapi
Nitajiapisha kuwa Rais wa Dunia asiye na bodyguard. Baadae naanza safari ya kujitambulisha
Umevuta bang ngap
nitakwenda bank na kuiba hela zote kisha naficha sehemu tofauti ili kizazi changu kisijepata shda