Utafanyanini ukigundua kua mkeo ana mtoto aliyemzaa zamani na alikuficha?

Utafanyanini ukigundua kua mkeo ana mtoto aliyemzaa zamani na alikuficha?

Mr-Njombe

Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
64
Reaction score
122
Komassava!

Msaada wa ushauri.

Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.

Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha

Je unamshauri nini
 
Kuzaa kabla ya ndoa ni tatizo kubwa sana. Unataka kufanya maisha na single maza? Una akili kweli?
Binafsi sitaki kuwa muhukumu kwa sababu hakuna binadamu mkamilifu kwa kuzingatia hao single maza mimba zao hazikutungwa kwa uwezo wa roho mtakatifu. Kuna wakati hata sisi wanaume tunapuyanga sana kwa hili na sisi pia tuwajibike na sio kuwatupia tu lawama.
Wakwangu aliniambia ana mmoja, baada ya miaka 8 nakuja gundua ana watatu
Daah hii nayo ngumu kumeza. Kwa sababu swali linarudi palepale kwa hakukwambia iliyo kweli
 
Back
Top Bottom