Utafanyanini ukigundua kua mkeo ana mtoto aliyemzaa zamani na alikuficha?

Utafanyanini ukigundua kua mkeo ana mtoto aliyemzaa zamani na alikuficha?

Nani awajibike kulea bao la mwanaume mwingine?
Mkuu una tatizo la uelewa au? Sijasema kulea mtoto wa mtu mwingine. Namaanisha usizalishe mabinti na kuwaacha mnatuletea mzigo mkubwa huku mtaani. Kama utaweza kulea mtoto wa mtu mwingine wajibika tu kwa sababu hata wako kuna siku atahitaji malezi ya mtu mwingine imagine akajibiwa ivyo.

Hatujafa hatujaumbika. Ukikua utayaelewa haya
 
Komassava!

Msaada wa ushauri.

Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.

Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha

Je unamshauri nini
ni kusonga mbele tu, kurudi nyuma ni kujichelewesha zaidi 🐒
 
piga chin
Ndio maana ndoa zenu hazidumu. Kama ana mtoto kabla hujawa naye na huyo mtoto hakai kwako wewe kinachokuuma ni nini hadi kumuacha.

Inatakiwa uendelee na maisha, kwa mimi akizalia ndani kwangu mtoto ambaye sio damu yangu ndio namuacha ila alizaaga miaka 7 iliyopita. Hahahaaa huyo hanihusu kabisa.
 
Ndio maana ndoa zenu hazidumu. Kama ana mtoto kabla hujawa naye na huyo mtoto hakai kwako wewe kinachokuuma ni nini hadi kumuacha.

Inatakiwa uendelee na maisha, kwa mimi akizalia ndani kwangu mtoto ambaye sio damu yangu ndio namuacha ila alizaaga miaka 7 iliyopita. Hahahaaa huyo hanihusu kabisa.
Point n moja kwann akufiche uje kujua miaka kama 6 mbele kwann yaani?
 
Komassava!

Msaada wa ushauri.

Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.

Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha

Je unamshauri nini
hili nalo anahitaji ushauri....aisee huyo bro kweli bwege
 
Back
Top Bottom