Chukwu emeka
JF-Expert Member
- Jan 12, 2018
- 24,314
- 38,919
Shida ni kwamba kwanini afiche.........inahitaji busara sana kulisolve hilo jambo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakin hii mada kwanini inajirudia rudia😆Kama umeoa single maza usiniquote
Sijaoa bado. Ila nadhani jambo la muhimu tujifunze kuwajibikaKama umeoa single maza usireply meseji zangu
Nani awajibike kulea bao la mwanaume mwingine?Sijaoa bado. Ila nadhani jambo la muhimu tujifunze kuwajibika
Kuna ujinga mwingi sana kwenye kizazi cha wanaume wa miaka hiiLakin hii mada kwanini inajirudia rudia😆
Mkuu una tatizo la uelewa au? Sijasema kulea mtoto wa mtu mwingine. Namaanisha usizalishe mabinti na kuwaacha mnatuletea mzigo mkubwa huku mtaani. Kama utaweza kulea mtoto wa mtu mwingine wajibika tu kwa sababu hata wako kuna siku atahitaji malezi ya mtu mwingine imagine akajibiwa ivyo.Nani awajibike kulea bao la mwanaume mwingine?
astakafurulilahWakwangu aliniambia ana mmoja, baada ya miaka 8 nakuja gundua ana watatu
ni kusonga mbele tu, kurudi nyuma ni kujichelewesha zaidi 🐒Komassava!
Msaada wa ushauri.
Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.
Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha
Je unamshauri nini
Ndio maana ndoa zenu hazidumu. Kama ana mtoto kabla hujawa naye na huyo mtoto hakai kwako wewe kinachokuuma ni nini hadi kumuacha.piga chin
Point n moja kwann akufiche uje kujua miaka kama 6 mbele kwann yaani?Ndio maana ndoa zenu hazidumu. Kama ana mtoto kabla hujawa naye na huyo mtoto hakai kwako wewe kinachokuuma ni nini hadi kumuacha.
Inatakiwa uendelee na maisha, kwa mimi akizalia ndani kwangu mtoto ambaye sio damu yangu ndio namuacha ila alizaaga miaka 7 iliyopita. Hahahaaa huyo hanihusu kabisa.
hili nalo anahitaji ushauri....aisee huyo bro kweli bwegeKomassava!
Msaada wa ushauri.
Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.
Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha
Je unamshauri nini
Njoo tukatiane nyama nusu kwa nusu. Salt EvelynUmentia hamu bro.....