Utafanyanini ukigundua kua mkeo ana mtoto aliyemzaa zamani na alikuficha?

Utafanyanini ukigundua kua mkeo ana mtoto aliyemzaa zamani na alikuficha?

Hahaha,am happily married Mkuu,but why mnawadharau sana wanawake single,huwa roho ya huruma na ubinadamu inanitesa.

Wanaume wengi wabongo hapana kwa kweli,sometime nashukuru sana sikuolewa na mbongo juu vijana wangu wangerithi hizi tabiambaya za kutusi wanawake like wako entitled to....

All women's deserves respect.
Mimi sijadharau mtu madam.
 
Acha ujinga na kuingilia yasiyokuhusu.
Mi nimekutuma ukanianike JF?
Mi muoga nimeshindwa kuomba ushauri mwenyewe?
Angalia,utakuja kukazwa. Tafuta hela,acha ujinga na umbea
 
Sasa huyo unayetaka alee ndiye alimkimbia? Mimba apewe na mwingine halafu mzigo mnataka abebeshwe mwingine, ebwoo!!

Yote inawezekana, pia inaweza ikawa ni TikTik kampeni ya kushawishi wote wakubali tu kulea, maana sasa hivi watu hawataki kusikia ujinga huo. Pia kuna haohao single mom walilelewa wao na watoto wao lakini ukubwani watoto wakatambulishwa kwa baba zao na wale baba walezi walipotezewa mazima.
Ya Mungu Mungu sawa, olewa na aliyekuzalisha. Hivyo ndivyo Mungu atakavyo, au Mungu sasa hivi amebadilisha utaratubu anataka watu wazaezae kwanza ndipo baadaye wakatafute ndoa? Maana miungu ni wengi
Oooh please,kuweni na huruma na hawa kinadada wanapitia sana,tulaumu hawa wanaume wanaowakimbia,tusipokemea hii tabia inazidi,mifumo yetu ndio inatuangusha wanawake,ingekuwa nchi zinajitambua wasingejaribu huo mchezo,sheria ingewabana ukizaa ujue unalea child support inakatwa juu kwa juu kupitia kipato chako.

Alichokosea huyo dada ni kutosema ukweli but watoto wote ni baraka.sasa utapata mtu kazalisha lakini kutwa kutukana single mom's that's weird.
 
Oooh please,kuweni na huruma na hawa kinadada wanapitia sana,tulaumu hawa wanaume wanaowakimbia,tusipokemea hii tabia inazidi,mifumo yetu ndio inatuangusha wanawake,ingekuwa nchi zinajitambua wasingejaribu huo mchezo,sheria ingewabana ukizaa ujue unalea child support inakatwa juu kwa juu kupitia kipato chako.
Kuna wanaokimbiwa, na kuna wanaosababisha waachwe. Kabla ya kulilia mifumo, ni vyema watu wakabadilika, wazingatie tu maadili, wautafute ukomavu wa akili. Kuhusu Child support, siyo kama hiyo sheria haipo, implementation yake haiwezekani sababu wazazi wenyewe wanahitaji support ili angalau mkono uende kinywani.
Kuna kesi nyingi pia mimba alinyang'anywa mhusika akaenda kupewa mwingine, huyo mwingine akaja kustuka kuwa siyo ya kwake, sasa hapo unamlaumu vipi mwanaume wakati kuna mwanaume alinyang'anywa mimba.
Wengine hukamata mimba kimkakati na kuzitumia kuchuma hela kutoka kwa wanaume tofauti kwa kumwambia kila mmoja mimba ni yake.
Alichokosea huyo dada ni kutosema ukweli but watoto wote ni baraka.sasa utapata mtu kazalisha lakini kutwa kutukana single mom's that's weird.
Watoto siyo baraka, watoto ni jukumu ndiyo maana usipowajibika kwenye jukumu hilo basi watoto hai huweza kuwa sumu, fedheha n.k
Watoto siyo baraka bali ni jukumu
 
Komassava!

Msaada wa ushauri.

Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.

Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha

Je unamshauri nini


Amuache, ila najua hatosikia
 
Kwa hiyo kwa kuwa kuna wanaume wanaouyanga wewe ndiyo unajitokeza kuwa mfukio mashimo wao na mbeba dhambi zao kwa kujiokotea wanawake waliozalishwa na hao wanaume?
Soma kuelewa mkuu. Usiwahi ku reply kabla hujaelewa
 
Mimi binafsi ningetoa taraka zote tatu na kila mmoja anachukua hamsini zake.....sijui wenzangu huko....
1002284760.jpg
 
Mwanamke anaeficha uzazi wake damu yake machungu yake seleka la Labour akalionea aibu au kinyaa ni hatari sana hata akiwa nao 5 akwambie umkimbie fresh kuliko huyo anaeficha, mkuu kimbia chap usigeuke nyuma
 
Mnaongea vibaya sana juu ya single mom's, hivi hizo mimba walijiweka wenyewe?si mliwakimbia!

Niliona tiktok mtoto wa single maza anajengea babake aliemlea nyumba kali,huyo mtoto ndio anainua hiyo familia,anasomesha hata watoto wa babake wa kufikia.

Ya MUNGU mengi msimalize maneno.
Single maza asiolewe, aendelee zalishwa tu
 
Anaonyesha kuwa sio muaminifu, huyo ni mdanganyifu kwa kuzaliwa. Anaweza hata kukuua muda wowote.
 
Back
Top Bottom