Utafanyanini ukigundua kua mkeo ana mtoto aliyemzaa zamani na alikuficha?

Utafanyanini ukigundua kua mkeo ana mtoto aliyemzaa zamani na alikuficha?

Komassava!

Msaada wa ushauri.

Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.

Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha

Je unamshauri nini
Ca va bien! Ntampongeza na kujua kwamba mayai yake ya ujana hakukaangia chipsi.
 
Komassava!

Msaada wa ushauri.

Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.

Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha

Je unamshauri nini
Alizaa na kaka yako au mwanaume mwingine?
Kama ni mwanaume mwingine anasiniri nini mpaka kuanza kupoteza muda kwa kukosa imani?
 
Amzalishe watoto wengine, hakuna mtoto haramu shekheee.. watoto ni baraka.. Kaka yako apige kimya kama haoini.. Ningekuwa mie ningefanya kama huu ushauro wangu
Kinyume cha haram ni halali. Huyo si mtoto wake halali kwa sababu yeye siyo baba halali wa mtoto, tusaidie kinyume cha halali ni kipi.
 
Binafsi sitaki kuwa muhukumu kwa sababu hakuna binadamu mkamilifu kwa kuzingatia hao single maza mimba zao hazikutungwa kwa uwezo wa roho mtakatifu. Kuna wakati hata sisi wanaume tunapuyanga sana kwa hili na sisi pia tuwajibike na sio kuwatupia tu lawama.
Kwa hiyo kwa kuwa kuna wanaume wanapuyanga wewe ndiyo unajitokeza kuwa mfukia mashimo wao na mbeba dhambi zao kwa kujiokotea wanawake waliozalishwa na hao wanaume?
 
Komassava!

Msaada wa ushauri.

Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.

Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha

Je unamshauri nini
Na wewe ikawa kinyume chake, unamaliza hilo linakuja la kwako tena muda huo huo unasikia watu hodi hodi mara watu na mwanamke uliyezaa naye kaja na mtoto tena photocopy hakuna cha DNA hapo yani mtoto utazani pacha wako hiyo inaitwa, what goes around comes around
 
Mnaongea vibaya sana juu ya single mom's, hivi hizo mimba walijiweka wenyewe?si mliwakimbia!

Niliona tiktok mtoto wa single maza anajengea babake aliemlea nyumba kali,huyo mtoto ndio anainua hiyo familia,anasomesha hata watoto wa babake wa kufikia.

Ya MUNGU mengi msimalize maneno.
 
Mwanamke anayemuonea aibu mtoto aliyemzaa kisa ndoa.
 
Komassava!

Msaada wa ushauri.

Kaka yangu ameoa na imepita miaka mitano sasa . Lakini hivi karibuni kagundua kua mkewe alikua kashazaa kipindi anasoma na kumuacha mwanae kwabibi yake na hakuwahi kumwambia ukweli.

Kaanza kukosa imani na mkewe kwamba huenda kuna mambo mengi anamficha

Je unamshauri nini
Nitamwambia hakukuwa na sababu ya kunificha kuhusu huyo mtoto.
 
Mnaongea vibaya sana juu ya single mom's, hivi hizo mimba walijiweka wenyewe?si mliwakimbia!

Niliona tiktok mtoto wa single maza anajengea babake aliemlea nyumba kali,huyo mtoto ndio anainua hiyo familia,anasomesha hata watoto wa babake wa kufikia.

Ya MUNGU mengi msimalize maneno.
Na wewe ni mono mum ?
 
Mnaongea vibaya sana juu ya single mom's, hivi hizo mimba walijiweka wenyewe?si mliwakimbia!
Sasa huyo unayetaka alee ndiye alimkimbia? Mimba apewe na mwingine halafu mzigo mnataka abebeshwe mwingine, ebwoo!!
Niliona tiktok mtoto wa single maza anajengea babake aliemlea nyumba kali,huyo mtoto ndio anainua hiyo familia,anasomesha hata watoto wa babake wa kufikia.

Ya MUNGU mengi msimalize maneno.
Yote inawezekana, pia inaweza ikawa ni TikTik kampeni ya kushawishi wote wakubali tu kulea, maana sasa hivi watu hawataki kusikia ujinga huo. Pia kuna haohao single mom walilelewa wao na watoto wao lakini ukubwani watoto wakatambulishwa kwa baba zao na wale baba walezi walipotezewa mazima.
Ya Mungu Mungu sawa, olewa na aliyekuzalisha. Hivyo ndivyo Mungu atakavyo, au Mungu sasa hivi amebadilisha utaratubu anataka watu wazaezae kwanza ndipo baadaye wakatafute ndoa? Maana miungu ni wengi
 
Na wewe ni mono mum ?
Hahaha,am happily married Mkuu,but why mnawadharau sana wanawake single,huwa roho ya huruma na ubinadamu inanitesa.

Wanaume wengi wabongo hapana kwa kweli,sometime nashukuru sana sikuolewa na mbongo juu vijana wangu wangerithi hizi tabiambaya za kutusi wanawake like wako entitled to....

All women's deserves respect.
 
Back
Top Bottom