Sawa Sasa geuza ingekuwa yeye mwanamke angeondoka ??piga chin
NAKAZIApiga chin
Ile kitimoto huyu umbwa kaikausha kinyama. Fanya fasta inapoaAmuulize kaburi lipo au halipo? Kama hamna kaburi mwambie bro abebe begi lake.....
Yuko wapi kwanza.
Kuzaa kabla ya ndoa ni tatizo kubwa sana. Unataka kufanya maisha na single maza? Una akili kweli?Kuzaa kabla ya ndoa inaweza kuwa sio tatizo
Wakwangu aliniambia ana mmoja, baada ya miaka 8 nakuja gundua ana watatuKuzaa kabla ya ndoa inaweza kuwa sio tatizo. Ila kwa nini hakusema kabla?
Lengo lilikua ni ndoa? Mali au nini kilimfanya asiseme? Hapa ndipo ndoa zinapovunjikia. Kuwa msiri, mbinafsi n.k
Kwa nini ulikubali kulea bao la mwanaume mwingine? Umepata ulichostahiliWakwangu aliniambia ana mmoja, baada ya miaka 8 nakuja gundua ana watatu
Umentia hamu bro.....Ile kitimoto huyu umbwa kaikausha kinyama. Fanya fasta inapoa
Binafsi sitaki kuwa muhukumu kwa sababu hakuna binadamu mkamilifu kwa kuzingatia hao single maza mimba zao hazikutungwa kwa uwezo wa roho mtakatifu. Kuna wakati hata sisi wanaume tunapuyanga sana kwa hili na sisi pia tuwajibike na sio kuwatupia tu lawama.Kuzaa kabla ya ndoa ni tatizo kubwa sana. Unataka kufanya maisha na single maza? Una akili kweli?
Daah hii nayo ngumu kumeza. Kwa sababu swali linarudi palepale kwa hakukwambia iliyo kweliWakwangu aliniambia ana mmoja, baada ya miaka 8 nakuja gundua ana watatu
actually wanaume sisi sometimes ni wabinafsiSawa Sasa geuza ingekuwa yeye mwanamke angeondoka ??
Kama umeoa single maza usireply meseji zanguBinafsi sitaki kuwa muhukumu kwa sababu hakuna binadamu mkamilifu kwa kuzingatia hao single maza mimba zao hazikutungwa kwa uwezo wa roho mtakatifu...