UTAFITI: 55% ya wananchi wanaukubali utendaji wa Rais Magufuli 2018 toka 96% ya 2016

Hapa dawa ni moja tu. Mimi namshauri Polepole akamate chaki akatoe tafsiri sahihi ya hizi takwimu kama alivyoweka sawa suala la Tshs. 1.5 trillion. Hawa watoa takwimu yawezekana wanatumiwa tu na wapinzani.
 
Nilivyona kuwa nanyeye yupo na kaisifia report.
Nikajua hili jambo limeiva..
Pole pole mambo mengi anaigiza ila moyoni anajua kabisa kuwa roho yake ipo against. Na yy ni mwanaharakati.
Kuitetea serikali ni maigizo tu

Na ndiyo maana ana sura ya mwaka 47, ana majuto mengi moyoni mwake.
 
Hivi hao waliowasilisha huo utafiti si ni NGO?
 
Kama hakupata baraka za wakubwa kushiriki katika uwasilishaji wa ripoti hii ya utafiti, basi ajue tu anaweza kupoteza kibarua chake wakati wowote kuanzia sasa.

Nina wasiwasi sana kama aliruhusiwa.

Mtapata tabu sana kumu-impress.
Anawezaje kufukuzwa kwa unafiki anaoufanya ? kuna siku nimemuona akicheza kwa style ya kishamba sana akishangilia bajeti ya dhuluma ya korosho
 
Mr. Slow slow

You can c the admiration of lion the moment you stare at him, the same can be found at leopard too once you look deeper. CCM does not chew what other POLITICAL PARTY chew, that why every election time they surprise the mass.

Thanks
 
Hii ni katikati ya Muhula wake, ni kwamba kila mwaka anaporomoka kwa asilimia zaidi ya 20, which means 2019 atakuwa na approval rate ya 30%, na 2020 atakuwa anahangaika na 10%...halaf NEC na polisi waje eti wadai ameshinda kwa asilimia 70%
 
Hivi walipata kibali cha kufanya utafiti, na nani kawapa kibali cha kuchapisha huo utafiti?? Ningekuwa mimi NBS basi ningewashitaki hawa . Utafiki wa kiongo kabisa huu
Walisema wachina no research no right to speak..... Tulia dawa iingie
 
Nyie sauti za wananchi mjiangalie sana,bwana yule hajaribiwi,si ajabu tukaskia mmefutwa kabisa katika uso wa dunia.
 
Kila tafiti ina part of methodology... Tafuta full report utaona tuu, TWAWEZA wameanza leo kufanya research?
 
Wale hamuwezi kuwatisha wale, Wale sio CHADEMA wala ACT- Jenerali Ulimwengu
Kenge kusikia hadi atoke damu masikioni.. Asante Jeneral.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…