hashilulaya
JF-Expert Member
- Feb 23, 2017
- 373
- 246
na ulitoweka kweli, vipi bado tabia yako ya kutukagua unayo?Mkuu walinilaani..ndo nimetoka kujiosha mto Jordan kutoa laana
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ukiona thread kama hii unamuita na unni. Yaani hizo comment nimecheka hadi nimekaa chini sijui nilikuwa wapi kuuona mimi huu uzi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hii thread bwana?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nisamehe Unni,nitakuwa nakuita mpenzi.[emoji23] [emoji23] [emoji23] ukiona thread kama hii unamuita na unni. Yaani hizo comment nimecheka hadi nimekaa chini sijui nilikuwa wapi kuuona mimi huu uzi
Haya my love uko poa lakini[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Nisamehe Unni,nitakuwa nakuita mpenzi.
Yani mimi ile siku nilicheka kidogo nizimie.
Sijambo mama,sijui wewe.Haya my love uko poa lakini
Si nasikiaga kuna baadh ya Wanaume huwa wanapigwa deck huko kwenye mferej wa makalio na Wanawake.Na ule mfereji wa makalio haujawahi oshwa vyema.
Mbona hukuniita nifurahi?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mbona hukuniita nifurahi?
Yaani nimecheka cha tu!Hahaaa!, pole shoga nilipitiwa!
Umeona vituko lakini humu! 😀
Haha!, watu sijui huwa wanafikiria nini! [emoji28]Yaani jimecheka cha tu!