UTAFITI: 99% ya wanaume tangu waache kuogeshwa na mama zao hawajapaka makalio yao mafuta

Aah msh*nzi wa maxhenzini aloanzisha hii thread...
 
Yani umemshika mwanaume ta.ko??
 
hahaha, sasa unapaka mafuta umekua kanitangaze au the delicious. mafuta usoni na mikononi😀😀
 
So ata Babako mzazi matak.o yake yanatoa unga???naomba jibu maana lazima atakua miongoni mwa hao 99% tu lazima.
 
Hahaha tunaogopa ukilizoesha kulishika shika you will end up being another Bashite
 
Ww kila ME unayekutana nae unampapasa makalio?, yaani hao wanaume wanaokuwa tayar kupapaswa makalio sio riziki pole yako.
 
Ww kila ME unayekutana nae unampapasa makalio?, yaani hao wanaume wanaokuwa tayar kupapaswa makalio sio riziki pole yako.

Tukiwa chumbani all is allowed...halafu mi mtoto wa kike, whats the worst that could happen?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…