Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Queen mpka unakwangua. Unatafuta nn..Na huyo mwaume anakua amekaa style gani mpk unaonaaa?Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Asante sana nesi. Nitakuja pia..... Na baada ya service nipangie tarehe ya kurudi uone kama bado litakuwa na vumbi au la. Ingawa kwa imani na tabia zangu najua litaendelea kuwa lilivyo leoNarudia tena mimi ni Nesi mkuu...utafiti nafanyia kwa wagonjwa
[emoji1] [emoji1] [emoji1]Mtu nashinda juani naponda kokoto unategemea niwe na tako laini!??embu tuombe radhi mkuu!!
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Teh teh teh teh teh[emoji1] [emoji2] [emoji3] [emoji2]Mtu nashinda juani naponda kokoto unategemea niwe na tako laini!??embu tuombe radhi mkuu!!
watch it...[emoji4]Kuna kitu mnakitafuta kwetu,endeleeni mnafikiri mna uhuru sanaaa,not to that extent.
Hiyo asilimia 30 labda dar mikoan sidhanDah...Usichokijua 30% ya wanaume wa huo umri hufanya masaji ya mwili mzima....
''You are fake researcher'' ( Kwa sauti ya Trump).....
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta