Jaslaws
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 6,016
- 5,296
Hiyo hygiene mpelekee kaoge...ujue natafuta style ya kupaka wese kwenye kalio siioni!?kwani ukioga unamfurahisha nani? Ni hygiene tu mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hygiene mpelekee kaoge...ujue natafuta style ya kupaka wese kwenye kalio siioni!?kwani ukioga unamfurahisha nani? Ni hygiene tu mkuu
None of the above!a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
Kwahio mkuu una tako laiiiiniiii....?!Mimi napaka a ni umaridadi tu kama unajipenda unapaka wala haina Shida yoyote unakuwa na ngozi nyororo zaidi na unabaki mwanaume kama kawaida
Kwahio mkuu una tako laiiiiniiii....?!
NdioKwahio mkuu una tako laiiiiniiii....?!
[emoji15] [emoji15] [emoji23] [emoji23] duuhNdio
Kwahio mkuu una tako laiiiiniiii....?!
Umeona jibu lake?Ha...ha...ha Dah!
Huo mda kwanza wa kuanza kupaka kalio mafta unautoa wapi mwanaume?Unapaka ili kulainisha nini sasa?
Huu utafiti umefanyika kwa watu wa umri wa miaka 20 hadi 30, mijini na vijijini.
Wanaume, kwanini hampaki mafuta? Mnapaka usoni tu na mikononi lakini huko mnaacha. Whyy? Unakutana na mtu ukimshika eneo hilo kavu na ukikwangua lazma utoke na unga....vepeeeee?
Naomba niwape multiple choices
a) Mikono haifiki
b) Mnasahau
c) Hamuoni umuhimu
d) Ubahili wa mafuta
wewe amesema miaka 20 to 30So ata Babako mzazi matak.o yake yanatoa unga???naomba jibu maana lazima atakua miongoni mwa hao 99% tu lazima.
Wachafu utawajua tu lazima watafute kisingizio.Mimi napaka a ni umaridadi tu kama unajipenda unapaka wala haina Shida yoyote unakuwa na ngozi nyororo zaidi na unabaki mwanaume kama kawaida
Hiyo miaka20-30 ni ya aliowafanyia uchunguzi,but 99% ya wanaume wote wanatoa unga matakon.i.wewe amesema miaka 20 to 30
Nimecheka kuanzia kwenye heading mpka mwishoHiyo miaka20-30 ni ya aliowafanyia uchunguzi,but 99% ya wanaume wote wanatoa unga matakon.i.